Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

NEC iweke majina ,ya wapiga Kura walionao ambao ni 29+ kwenye tovuti Yao watanzania wayaone online. Idadi iliyowekwa sio sawa ni kubwa zaidi . NI sawa na kusema zaidi ya nusu ya watanzania wamejiandikisha Jambo ambalo sio kweli.Pia sio kweli kuwa watanzania wapo 50 m, watanzania ni pungufu ya 50m.

hata wakiweka majina ya wafu, haiwezi fika 29M
 
TOHATO,

Mil 29 waliojiandikisha ni uongo mtupu , ningependa Zitto na Lissu wafaye randomly uhakiki wa wapiga kura,hapo bao la mkono la masaki linaandaliwa...

Kama vituo vya kura vipo elfu 88 basi inabidi waandae Sehemu zao za kupokea matokeo ya kila kituo na kuyaandika online ,wasikae sehemu moja ,kulingana na advance ya technology kwa sasa kuna zoom meeting , kuna Telegram wanaweza wakala wakajiunga kwenye magroup na kupost matokeo nchi nzima ,kisha wakala wakisha hesabu watume fasta kwenye group na kila group liwe na mtu ambaye atakuwa ana update makao makuu! Then wapige hesabu ya jumla

"Mwaka huu hakuna kulia tena either watangaze matokeo halisi au Tunalia wote" - Benson
siku hizi hakuna tena maisha ya ujanja ujanja mambo ni hadharani kwa sasa
 
TOHATO,

Mil 29 waliojiandikisha ni uongo mtupu , ningependa Zitto na Lissu wafaye randomly uhakiki wa wapiga kura,hapo bao la mkono la masaki linaandaliwa...

Kama vituo vya kura vipo elfu 88 basi inabidi waandae Sehemu zao za kupokea matokeo ya kila kituo na kuyaandika online ,wasikae sehemu moja ,kulingana na advance ya technology kwa sasa kuna zoom meeting , kuna Telegram wanaweza wakala wakajiunga kwenye magroup na kupost matokeo nchi nzima ,kisha wakala wakisha hesabu watume fasta kwenye group na kila group liwe na mtu ambaye atakuwa ana update makao makuu! Then wapige hesabu ya jumla

"Mwaka huu hakuna kulia tena either watangaze matokeo halisi au Tunalia wote" - Benson
naaaam!! siku hizi hakuna tena maisha ya ujanja ujanja mambo ni hadharani kwa sasa
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Safari hii ni kura za maruhani mzee
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.

Usiumize kichwa na chaguzi za Tanzania. Mwaka 2015 si ulikuwepo. Si uliona. Basi usiumize kichwa na hizo hesabu. We ukitaka siasa ya Tanzania chukua fomu, ijaze na uirejeshe. Hapo ndo utajua idadi ya wapiga kura ni wangapi.
 
Piga ua wapiga kura hawazidi m15. Kitu kingine ni kuwa watu vitambulisho vya kupiga kura tumeshapoteza. Sidhani kama watz hata wwnye ivyo vitambulisho kufika mi5
 
Data ni kuwa hiyo idadi ya tume ya uchaguzi ni ya kupika. Watanzania tunakaribia 60m, inawezekana vipi watu 29m+ kujiandikisha kupiga kura? Yaani kila watu wawili mmoja kajiandikisha kura, jambo hilo sio kweli kabisa. Kama maneno marahisi watu wote wenye miaka 18 na kuendelea wamejiandikisha kupiga kura. Kama NEC ina idadi fake ya wapiga kura, hata matokeo itatangaza fake.
Mwaka 2015 waliojiandikisha kupiga kura walikuwa wangapi tuanzie hapo ili tukate mzizi wa fitina, maana hata hizi projection za watu sijui ni estimation ambazo hazina uhalisia, coz tangu 2012 sensa bado haijafanyika kujua idadi ya watanzania ni kiasi gani
 
Mwaka 2015 waliojiandikisha kupiga kura walikuwa wangapi tuanzie hapo ili tukate mzizi wa fitina, maana hata hizi projection za watu sijui ni estimation ambazo hazina uhalisia, coz tangu 2012 sensa bado haijafanyika kujua idadi ya watanzania ni kiasi gani

Kama unataka tetea hoja kwa kukosoa makadirio utafeli haraka kwa hoja yako. Njia ya makadirio haiwezi kutofautiana zaidi ya asilimia 2 ya idadi halisi ya watu.

Ya mwaka 2015 naona mambo ni yale yale tuu maana idadi ilionekana milioni 22.. Ila ya mwaka ule watu walijitoa wengi sana kujiandikisha kuanzia kuwa hapakuwa na kitambulisho kilichokuwa kina umuhimu kama cha kura na sababu pia za kisisa tofauti na mwaka hu.

Sasa mwaka huu watu wengi sana walipuuzia kujisajili hasa baada ya kuona ya mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.

Basi leta hoja ya kusahihisha imewezekenaje idadi kukaribia au kulingana kabisa na idadi ya watu wanaoruhusiwa kupiga kura (NADHANI ULIONA WATU WALIVYOSUSIA KUJIANDIKISHA HADI SIKU KUONGEZE ILA WAPI),
 
Mkuu,

Hofu yako ni yetu tulio wengi.

Ni hivi:

1) Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya wapiga kura waliojiandikisha (2020) kuwa ni 29,188,347 (Ref: Taarifa ya NEC, August 19, 2020)

2) Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania hadi sasa (2020) ni milioni 59,700,000 na idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:-

a) Watu (wananchi) wenye umri chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%

b) Watu wenye umri kati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%

c) Watu wenye umri zaidi ya miaka 64 ni 3%

Tufanye uchambuzi:

i) Wapiga kura (kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi) ni miaka 18+

ii) Idadi ya wapiga kura (2020) waliotangazwa na NEC ni takriban 48.9%

iii) Kwa makadirio, idadi ya watu wasioruhusiwa kupiga kura kwa mujibu wa sheria (umri chini ya miaka 18 kutoka kundi 2(b) hapo juu) kuwa ni 1.1% ya wapiga kura wote

iv) Kwa hiyo, idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa 2020 ni 50% ya Watanzania wote. Hii ni sawa na watu 29,850,000

Uchambuzi huu hapo juu unamaanisha:

MOJA: Kwamba wakati wa kujiandikisha Watanzania WOTE walikuwepo hapa nchini na walijiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu 2020;

MBILI: Kwamba kila Mtanzania mwenye umri wa kupiga kura kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi amejiandikisha kwenda kupiga kura

Nikiri, tangu Uchaguzi Mkuu wa kwanza katika Tanzania huru, Uchaguzi wa mwaka 2020 ndio utakuwa na maajabu kuwa asilimia mia moja (100%) ya Watanzania wenye umri wa kupiga kura walijiandikisha kupiga kura!

Serikali ya awamu ya 5 inatuona wapumbavu kiasi hiki?
Bro watu wangu wooote wa karibu hamna hata mmoja alieenda kuhakiki kwenye daftari la kupiga kura, binafsi nakiri nilishtukia tuu kipindi Cha korona kuona watu wanahakikiwa Tena kwa uchache saana, nilipoenda nikaambiwa muda umeisha hawajui ni lini Tena.

Nasema hivii hio idadi hata Mimi natilia Shaka hasa ukizingatia uhakiki na uandikishaji ulifanyika Mara ya mwisho kipindi Cha corona, ambapo watu wengi waliogopa.
 
Bro watu wangu wooote wa karibu hamna hata mmoja alieenda kuhakiki kwenye daftari la kupiga kura, binafsi nakiri nilishtukia tuu kipindi Cha korona kuona watu wanahakikiwa Tena kwa uchache saana, nilipoenda nikaambiwa muda umeisha hawajui ni lini Tena.

Nasema hivii hio idadi hata Mimi natilia Shaka hasa ukizingatia uhakiki na uandikishaji ulifanyika Mara ya mwisho kipindi Cha corona, ambapo watu wengi waliogopa.

Ninapo ishi mimi hakuna hata mmoja ambae kajisajili watu walikuwa wanalaumu siezi kwenda kujiandikisha alafu fomu zikirudishwa milango imefungwa. Yaaan mpaka najiuliza labda mitaa yangu mimi ndo itakuwa pekee tuu hawajajiandikisha
 
Kama unataka tetea hoja kwa kukosoa makadirio utafeli haraka kwa hoja yako. Njia ya makadirio haiwezi kutofautiana zaidi ya asilimia 2 ya idadi halisi ya watu.

Ya mwaka 2015 naona mambo ni yale yale tuu maana idadi ilionekana milioni 22.. Ila ya mwaka ule watu walijitoa wengi sana kujiandikisha kuanzia kuwa hapakuwa na kitambulisho kilichokuwa kina umuhimu kama cha kura na sababu pia za kisisa tofauti na mwaka hu.

Sasa mwaka huu watu wengi sana walipuuzia kujisajili hasa baada ya kuona ya mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.

Basi leta hoja ya kusahihisha imewezekenaje idadi kukaribia au kulingana kabisa na idadi ya watu wanaoruhusiwa kupiga kura (NADHANI ULIONA WATU WALIVYOSUSIA KUJIANDIKISHA HADI SIKU KUONGEZE ILA WAPI),
Mkuu bado unaongelea assumptions tu, idadi ya watu inayojulikana sasaivi ni makadirio tu, Hakuna mwenye data kamili.
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Kwahiyo huko upinzani mnawatengeneza kwa ajiri ya kuwauza nijuavyo mimi mnunuzi hawezi kuwepo bila muuzaji

Mnaposema kiongozi fulani kanunuliwa anaye kuwa kamuuza ni nani[emoji23][emoji23] , maana huenda ikawa ni biashara nzuri akina sisi tuanze u middle man
 
Mwaka 2015 waliojiandikisha kupiga kura walikuwa wangapi tuanzie hapo ili tukate mzizi wa fitina, maana hata hizi projection za watu sijui ni estimation ambazo hazina uhalisia, coz tangu 2012 sensa bado haijafanyika kujua idadi ya watanzania ni kiasi gani

2015 walikuwa wapiga kura 22m+. Na sensa ya 2012 tulikuwa 52m+. Endelea na hoja yako sasa.
 
"CCM ITATAWALA MIAKA 100" Jakaya kikwete 2005 Jangwani Dar Es salaam.

Kauli hii imebeba Siri na tafakuri nzito Sana. Binafsi Inanivunja moyo wa uwepo wa Upinzani nchini.
 
Ninapo ishi mimi hakuna hata mmoja ambae kajisajili watu walikuwa wanalaumu siezi kwenda kujiandikisha alafu fomu zikirudishwa milango imefungwa. Yaaan mpaka najiuliza labda mitaa yangu mimi ndo itakuwa pekee tuu hawajajiandikisha
Mimi nafkiri walihamasishwa watu wao zaidi ila kwa kweli ushindi safari hi wameuandaa toka mbali saana
 
Mkuu wamepitisha sheria mpyaa, mkuu wkaitoa ana hiyari ya kutoa au kutokutoa copy ya matokeo kwa wasimamizi wa vyama.
Ni kweli hata wakala sio lazima asaini kukubali matokea yaani wakala kusaini kwamba anakubali matokeo ni Option ,ila sisi tunataka wakala aseme matokeo yale aliyohesabu kwa pamoja na kuyaandika hayo atakayoleta mtu wa NEC ni ya kwake.
 
Wala haihitaji Akili kubwa sana kujua kuwa Kukishinda chama kilichokaa Madarakani kwa zaidi ya Miaka 40 hasa Barani Afrika ni Mtihani mzito mno.
Kwani si alifia kule Ujerumani shehe 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom