Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

NEC iweke majina ,ya wapiga Kura walionao ambao ni 29+ kwenye tovuti Yao watanzania wayaone online. Idadi iliyowekwa sio sawa ni kubwa zaidi . NI sawa na kusema zaidi ya nusu ya watanzania wamejiandikisha Jambo ambalo sio kweli.Pia sio kweli kuwa watanzania wapo 50 m, watanzania ni pungufu ya 50m.
NEC Wanataka kupanga matokeo
 
Mkiambiwa Magufuli atapita kwa asilimia zaidi ya 90 wapinzani mnabisha.. Wapinzani mkitaka kupona na uchaguzi huu fanyeni namna data zihakikiwe tena. Mtu unaona data zimepikwa na matokeo anatangaza jecha bado unaingia kwenye uchaguzi tu.
 
TOHATO,

Mil 29 waliojiandikisha ni uongo mtupu , ningependa Zitto na Lissu wafaye randomly uhakiki wa wapiga kura,hapo bao la mkono la masaki linaandaliwa...

Kama vituo vya kura vipo elfu 88 basi inabidi waandae Sehemu zao za kupokea matokeo ya kila kituo na kuyaandika online ,wasikae sehemu moja ,kulingana na advance ya technology kwa sasa kuna zoom meeting , kuna Telegram wanaweza wakala wakajiunga kwenye magroup na kupost matokeo nchi nzima ,kisha wakala wakisha hesabu watume fasta kwenye group na kila group liwe na mtu ambaye atakuwa ana update makao makuu! Then wapige hesabu ya jumla

"Mwaka huu hakuna kulia tena either watangaze matokeo halisi au Tunalia wote" - Benson

Mkuu wamepitisha sheria mpyaa, mkuu wkaitoa ana hiyari ya kutoa au kutokutoa copy ya matokeo kwa wasimamizi wa vyama.
 
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
nakuhakikishia hii idadi 'imepikwa' kwa malengo ya 'kupika' kura za ushindi kwa kile chama.
 
NEC wakijichanganya uchaguzu huu zinapigwa kura za wazi ccm nilazima kundolewa kwanjia zote
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Kama unategemea mabeberu, mbona tena unaanza kuweweseka mkuu? Mm nawashauri twendeni kwenye kampeni tukatoe sera, halafu tukampe tena JPM miaka 5.
 
Mil 20 kura za CCM izozilizobaki mtagawana wapinzani na nyinyi msijisikie vibaya.
 
Kama unategemea mabeberu, mbona tena unaanza kuweweseka mkuu? Mm nawashauri twendeni kwenye kampeni tukatoe sera, halafu tukampe tena JPM miaka 5.

Kwa ulichokiandika kinaendana na nilichokisema?
Nyie mnafeli wapi aisee?
Kama ndo mloajiriwa mitandaoni Hoja ni kazi bure.
Au ndo kama wajitolea kujibu mada humu basi jifunze kujikita kwenye hoja sio kuropoka tu.

Nimeeka wapi neno mabeberu au kuhusu kuchagua mtu yotote au chama chochote?
 
Mkuu,

Hofu yako ni yetu tulio wengi.

Ni hivi:

1) Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya wapiga kura waliojiandikisha (2020) kuwa ni 29,188,347 (Ref: Taarifa ya NEC, August 19, 2020)

2) Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania hadi sasa (2020) ni milioni 59,700,000 na idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:-

a) Watu (wananchi) wenye umri chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%

b) Watu wenye umri kati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%

c) Watu wenye umri zaidi ya miaka 64 ni 3%

Tufanye uchambuzi:

i) Wapiga kura (kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi) ni miaka 18+

ii) Idadi ya wapiga kura (2020) waliotangazwa na NEC ni takriban 48.9%

iii) Kwa makadirio, idadi ya watu wasioruhusiwa kupiga kura kwa mujibu wa sheria (umri chini ya miaka 18 kutoka kundi 2(b) hapo juu) kuwa ni 1.1% ya wapiga kura wote

iv) Kwa hiyo, idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa 2020 ni 50% ya Watanzania wote. Hii ni sawa na watu 29,850,000

Uchambuzi huu hapo juu unamaanisha:

MOJA: Kwamba wakati wa kujiandikisha Watanzania WOTE walikuwepo hapa nchini na walijiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu 2020;

MBILI: Kwamba kila Mtanzania mwenye umri wa kupiga kura kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi amejiandikisha kwenda kupiga kura

Nikiri, tangu Uchaguzi Mkuu wa kwanza katika Tanzania huru, Uchaguzi wa mwaka 2020 ndio utakuwa na maajabu kuwa asilimia mia moja (100%) ya Watanzania wenye umri wa kupiga kura walijiandikisha kupiga kura!

Serikali ya awamu ya 5 inatuona wapumbavu kiasi hiki?

Na huku kwetu Zanzibar , watu zaidi ya 50 000 wanaostahili kupiga kura hawajapewa vitambulisho
 
Kwani lini Tanzania kulikuwa na Uchaguzi ??? HIzi ni chafuzi si chaguzi , na mwisho wake ni kudidimia kwa nchi kwani watu imefika mwisho. Hawawezi kuvumilia tena , tusubiri vita vya wenyewe kwa wenyewe tu. Sasa ni zamu yetu. CCM ndio wanatufikisha huko
Labda sio kwa Tanzania hii. Hiyo ndoto ya saa kumi na mbili asubuhi.
 
Labda sio kwa Tanzania hii. Hiyo ndoto ya saa kumi na mbili asubuhi.


Mbona ngumi zimeanza ndani ya CCM yenyewe ?? Ndio mambo yanavyoenda. Karume hakuuliwa na watu wa mitaani ni hao aliwaowapa vyeo wakiongozwa na Laanatullahi Nyerere, TIME WILL TELL , oktober si mbali
 
Jkt wametangaza nafasi za kazi, je vijana watakao kwenda jkt watapiga kura?
 
Majina kwenye vitu vya kupigia kura yaisha banduliwa hata kabla ya wapiga kura kuhakiki majina yao hii tume inatia mashaka sana
Mil 20 kura za CCM izozilizobaki mtagawana wapinzani na nyinyi msijisikie vibaya.
 
Hii iss
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Hii issue Ni very serious.mwaka 2015 wakati wa uchaguzi Mkuu, magufuli alipata kura 8m plus na Lowasa 6m plus. Ukijumlisha unapata 14m plus.sasa vyama vingine na mabso hawakupiga kura may be 2m plus.jumla inakuwa 16m plus. Mwaka huu tume ya uchaguzi umetoa wapi watanzania waliojiandikisha 29m plus?
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
 

Attachments

  • 1598259793079.png
    1598259793079.png
    27.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom