Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Ilivyovamiwa Crimea alikiuka mkataba upiHapana ulikuwepo mkataba before alioukiuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilivyovamiwa Crimea alikiuka mkataba upiHapana ulikuwepo mkataba before alioukiuka.
Urusi alivyowaunga mkono waasi wa luhask na Donesk wajitengee na UKRAINE je walikiuka mkataba upi usiwe unaongea vitu kwa mihemko na ushabikiHapana ulikuwepo mkataba before alioukiuka.
Mtoa uzi ana akili timamu, na uzi wake unatafakilisha na unauonyesha wazi kwamba umeandikwa na mtu anayekuwa kutafakari,, WANAOSHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJA KAMA WEWE, BONGO ZAO HAZIWEZI TOA HEKIMA.Nini mashaka mtoa uzi anashiriki mapenzi ya jinsia moja.
Achunguzwe.
Hakuvamiwa ila alikaribisha PANYA ROAD nyumbani kwake wanaojiita NATO. Putin ameonya, ila ZELE akakaza FUVU.Kwa hiyo wewe ulitaka alivyovamiwa nchi kwake na Urusi angeikabidhi nchi yake kiroho safi kwa Putin ili raia wake wasiwe wakimbizi?
Naona ume bold kabisa ili tujue kwa urahisi kwamba unapakuliwa, bahati mbaya mimi sili Mashoga kama weweMtoa uzi ana akili timamu, na uzi wake unatafakilisha na unauonyesha wazi kwamba umeandikwa na mtu anayekuwa kutafakari,, WANAOSHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJA KAMA WEWE, BONGO ZAO HAZIWEZI TOA HEKIMA.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ama kweli tuna Vijana wanaotegemewa kuikuza Africa kiuchumi kutokana na Elimu zao.Nini mashaka mtoa uzi anashiriki mapenzi ya jinsia moja.
Achunguzwe.
Urusi anaposema kitu atafanya ujue atafanya kweli
1. Tupe ushahidi kwamba alisema ataichukua Kiev in 2 daysHebu niambie kipi amesema akafanya? Kuichukua kiev in 2 days? Atakae ingilia atakion cha mtema kuni na nini kinaendelea? Majimbo aliosema yamepigiwa kura na ni sehem ya urusi kipi amefanya, zaid na zaidi drones ndio zimezama mpaka Kremlin kabisa yule anaitwa Bob Mikwara kam wa sani