Nina mashaka na siku 90 za bunge la KATIBA

Nina mashaka na siku 90 za bunge la KATIBA

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
WANANCHI wana mashaka; kuwa huenda muda uliopangwa kuanza na kumalizika mikutano ya Bunge Maalum la Katiba usitoshe kutokana na kuahirisha vikao vya kutengeneza kanuni, mathalani wakichukulia mfano leo ambapo mkutano huko Dodoma unaanza saa 10 jioni.
 
WANANCHI wana mashaka; kuwa huenda muda uliopangwa kuanza na kumalizika mikutano ya Bunge Maalum la Katiba usitoshe kutokana na kuahirisha vikao vya kutengeneza kanuni, mathalani wakichukulia mfano leo ambapo mkutano huko Dodoma unaanza saa 10 jioni.

ImageUploadedByJamiiForums1394003599.692327.jpg
 
Never mind about those who seem not to be caring!!!!!!!

You think more serious than those who are really employed for that!!!!!!

This proves that you love your country dearly, I wish you had a chance!!!!!
 
Back
Top Bottom