Asante sana.Gari laki Litafanya kazi propery na charging time itakuwa sawa kama factors za manufacturer zitakuwa considered.
Charger ya nyumbani mara nyingi ni ya single phase. so unaweza install nyumbani kwenye garage/ parking space yako.
Cha kuzingatia ni kitu kimoja tuu.
Haya magari huwa yanakuwa dedicated kwenye market fulani ili kusiwe na usumbufu.
Tanzania single phase ni 220V - 240V na Three phase/ Phase line ni 380V - 415V
Wakati nchi nyingine mambo huwa tofauti. kuna baadhi ya nchi single phase ni 110 na wengine ni 170 yani ni mvurugano tupu.
Kama utakumbuka enzi zile wakati tunanunua radio za mtumba toka japan. kv Sony, Sanyo, Nec na maredio mengine kama Kenwood akai, nikai nyingi zilikuwa ni 110v wakati sisi tuna 220v so ililazimu kuwa na Power adopter/ Transformer au Converter ya 220v kwenda 110v Bila hivyo ukiiweka moja kwa moja kwenye socket lazima iungue power Supply yake.
So kama unaagiza hakikisha unaangalia issue ya umeme. Nikutoe hofu tuu kuwa umeme unatosha. Najua unamiss concept fulani za umeme ndio maana unaona charging time itakuwa kubwa, Laaaa hasha haiwezekani kama umeme ni mdogo hutafanikiwa kabisa kucharge au utaunguza charger yako kutokana na low voltage ambayo ni result ya high current lakini pia vifaa vya kisasa vina protection mechanism so hakita fanya kazi kama parameters za umeme hazipo sawa
View attachment 1985289
Kiambatanisho hicho kinainonesha Voltage/ Mains za kila nchi. So hakikisha kabla hujanunua charger lazima iendane na umeme wetu. Kama haiendani utalazimika na kuingia gharama kuwa na power adopters/ converters ili kutafuta compatibility
Asante sana.
Umenielezea vizuri sana.
Swali lingine;
Assume unataka kujaza gari lenye battery ya 100 kwh. Itachukua units ngapi za umeme?
Mi naona itakuwa ni units 100 hio kwa full chargeAsante sana.
Umenielezea vizuri sana.
Swali lingine;
Assume unataka kujaza gari lenye battery ya 100 kwh. Itachukua units ngapi za umeme?
Sio kweli mkuu nimeona nissan leaf anayo bi mkubwa fuu inakata unit 14 , na imejengewa banda na mita yak inajitegemeaMi naona itakuwa ni units 100 hio kwa full charge
Unit 14 anatembea km ngapi?Sio kweli mkuu nimeona nissan leaf anayo bi mkubwa fuu inakata unit 14 , na imejengewa banda na mita yak inajitegemea
Full charge ni unit 14 tu?Sio kweli mkuu nimeona nissan leaf anayo bi mkubwa fuu inakata unit 14 , na imejengewa banda na mita yak inajitegemea
Ndio kaka , unit 14 tu mzigo unajaa fullFull charge ni unit 14 tu?
Basi itakuwa burudani kama ni hivyo!Ndio kaka , unit 14 tu mzigo unajaa full
Kwani 5000 unapata mafuta lita ngapi na utatembea kilometa ngapi mkuu? Maana kumbuka umeambiwa hizo unit 14 mtu anatembea km 60 kwa siku na bado charge inabaki bar moja!Msisahau unit 14=5000Tsh
Tunashukuru mkuu kwa somo zuriGari laki Litafanya kazi propery na charging time itakuwa sawa kama factors za manufacturer zitakuwa considered.
Charger ya nyumbani mara nyingi ni ya single phase. so unaweza install nyumbani kwenye garage/ parking space yako.
Cha kuzingatia ni kitu kimoja tuu.
Haya magari huwa yanakuwa dedicated kwenye market fulani ili kusiwe na usumbufu.
Tanzania single phase ni 220V - 240V na Three phase/ Phase line ni 380V - 415V
Wakati nchi nyingine mambo huwa tofauti. kuna baadhi ya nchi single phase ni 110 na wengine ni 170 yani ni mvurugano tupu.
Kama utakumbuka enzi zile wakati tunanunua radio za mtumba toka japan. kv Sony, Sanyo, Nec na maredio mengine kama Kenwood akai, nikai nyingi zilikuwa ni 110v wakati sisi tuna 220v so ililazimu kuwa na Power adopter/ Transformer au Converter ya 220v kwenda 110v Bila hivyo ukiiweka moja kwa moja kwenye socket lazima iungue power Supply yake.
So kama unaagiza hakikisha unaangalia issue ya umeme. Nikutoe hofu tuu kuwa umeme unatosha. Najua unamiss concept fulani za umeme ndio maana unaona charging time itakuwa kubwa, Laaaa hasha haiwezekani kama umeme ni mdogo hutafanikiwa kabisa kucharge au utaunguza charger yako kutokana na low voltage ambayo ni result ya high current lakini pia vifaa vya kisasa vina protection mechanism so hakita fanya kazi kama parameters za umeme hazipo sawa
View attachment 1985289
Kiambatanisho hicho kinainonesha Voltage/ Mains za kila nchi. So hakikisha kabla hujanunua charger lazima iendane na umeme wetu. Kama haiendani utalazimika na kuingia gharama kuwa na power adopters/ converters ili kutafuta compatibility
Unaposema imejengewa banda unamaanisha nini?
Basi hii ni nzuri kwa town trips day to day uses.