Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Hello.
Nina swali moja kubwa kuhusu gari za umeme hasa charging system.
Hivi ukinunua gari ya umeme ambayo inakuja na ile charging set yake.
Uki install nyumbani kwako na ukawa unacharge gari yako.
Je charging speed itakuwa sawa na ile recommended kwenye manuals za gari au itakuwa tofauti?
Au umeme wa tanzania ni mdogo, utasumbua kujaza kwa wakati?
Wataalamu mnisaidie.
Nina swali moja kubwa kuhusu gari za umeme hasa charging system.
Hivi ukinunua gari ya umeme ambayo inakuja na ile charging set yake.
Uki install nyumbani kwako na ukawa unacharge gari yako.
Je charging speed itakuwa sawa na ile recommended kwenye manuals za gari au itakuwa tofauti?
Au umeme wa tanzania ni mdogo, utasumbua kujaza kwa wakati?
Wataalamu mnisaidie.