Nina maumbile madogo ya uume

Mzee hatari sie wenye vibamia tunadharauliwa sana na hawa wanawake. Mwenzio nilienda mpaka mbeknyera huko kwa mganga nikuze kibamia changu lakini hamna lolote bado kipo vile vile.
Mzee tujikubali tuu imekula kwetu kwenye hiyo sector
Kujigamba kote kule jinsi unavyochakata mbususu za kila aina Kumbe....
Ngoja nikae kimyaπŸ˜…
 
Wewe ridhika tu na hayo maumbile yako. Maana ndivyo ulivyoumbwa. Hizo njia nyingine unazotaka kutumia, zitakuingiza tu kwenye matatizo mengine na ambayo hukuyatarajia.
 
Acha uchawi ww[emoji35]
 
Wewe ndowakuongelea UCHAWI ? DUNIA SIMAMA NISHUKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…