Nina maumbile madogo ya uume

Mkuu. Uume hauongezeki. Na hauwezi kuongezeka biologically. Naomba unikosoe
 
Mzee hatari sie wenye vibamia tunadharauliwa sana na hawa wanawake. Mwenzio nilienda mpaka mbeknyera huko kwa mganga nikuze kibamia changu lakini hamna lolote bado kipo vile vile.
Mzee tujikubali tuu imekula kwetu kwenye hiyo sector
Cha muhimu hapo ni awe na nguvu za kurudia round kila anapomaliza na awe na uwezo wa kusukuma kibamia kwa muda usiozid dk 10

Pia atafute hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…