Nina maumbile madogo ya uume

Nina maumbile madogo ya uume

Tallbata tafuta mafuta ya mzaituni MLS 10, - chupa 3.
[emoji117]Kitunguu swaumu robo kilo, Kisha vitwange mpaka vilainike.
[emoji117]Kaanga katika sufuria hayo mafuta na vitunguu swamu.
[emoji117]Mpaka vibadilike rangi, Kisha acha yapoe na uhifadhi katika chupa ndogo yenye mfuniko.
[emoji117]Kabla ya kuanza kutumia dawa, pima ukubwa na urefu was uume wako- ili ufahamu.
[emoji117]Utakuwa una uchua uume wako kwa maji ya uvugu vugu(ndani ya dk 15).
[emoji117]Kisha ndo una Chua uume kwa mafuta hayo, uliyo andaa.
[emoji117]Hakikisha haumwagii, maana ni hatari na haifai(Utakuwa mwanachama was nyetooz).
[emoji117] Tumia wiki 2- 4 Natumai Utaona mabadiliko. [emoji120]
[emoji120] kaka nitakupa mrejesho
 
Cha muhimu hapo ni awe na nguvu za kurudia round kila anapomaliza na awe na uwezo wa kusukuma kibamia kwa muda usiozid dk 10

Pia atafute hela
Mbona mambo mengi mzeya?
Alafu unajua kuwa uwezo wa kusukuma kwa muda mrefu is directly proportional to length ya de libolo.

Its just simple arithmetics...mwenye de libolo shahawa zinasafiri umbali mrefu mpaka kutoka wakati sie vibamia shahawa zinasafiri umbali mdogo hence y pia tunawahi kumwaga
 
Mimi ni kijana ambae niko mtaani nafanya mishe zangu fresh ila kuna jambo linanitatiza sana, mwenye ujuzi naomba anisaidie.

Ni hivi; nina maumbile madogo ya uume mpaka najiogopa. Nimekuwa nikitemwa na kuzarauliwa na kila msichana ambaye nakuwa naye kwenye mahusiano.

Hii hali huwa inanitesa sana, hivyo kama kuna mdau anajua njia bora na ya asili ya kuongeza maumbile anisaidie hii hali haivumiliki wazee.
Wala sikupe hofu, tafuta jinsi nzuri ya kutumia kidude chako, kuna wenye mitambo kama watoto wa punda na haisimami.
 
Mkuu ni kweli kabisa... Hii dunia huwezi kupata vyote na pia huwezi kukosa vyote
Huku duniani kuna watu huo uume hata haufanyi kazi kabisa ila wapo wanafurahia maisha kwa mengine waliyobarikiwa nayo. Wameasili watoto na wanaitwa baba.
 
Back
Top Bottom