Nina maumbile madogo ya uume

Afu hawa wanaochangia ukikutana nao njia huwez amini ni watu na eshima zao uku ndo mahala pa kujiachia [emoji1787][emoji1787]
Na ukute huyu aliyepost ni Mheshimiwa Waziri [emoji1787]
 
[emoji120] kaka nitakupa mrejesho
 
Cha muhimu hapo ni awe na nguvu za kurudia round kila anapomaliza na awe na uwezo wa kusukuma kibamia kwa muda usiozid dk 10

Pia atafute hela
Mbona mambo mengi mzeya?
Alafu unajua kuwa uwezo wa kusukuma kwa muda mrefu is directly proportional to length ya de libolo.

Its just simple arithmetics...mwenye de libolo shahawa zinasafiri umbali mrefu mpaka kutoka wakati sie vibamia shahawa zinasafiri umbali mdogo hence y pia tunawahi kumwaga
 
Wala sikupe hofu, tafuta jinsi nzuri ya kutumia kidude chako, kuna wenye mitambo kama watoto wa punda na haisimami.
 
Mkuu ni kweli kabisa... Hii dunia huwezi kupata vyote na pia huwezi kukosa vyote
Huku duniani kuna watu huo uume hata haufanyi kazi kabisa ila wapo wanafurahia maisha kwa mengine waliyobarikiwa nayo. Wameasili watoto na wanaitwa baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…