Nina maumbile madogo ya uume

Nina maumbile madogo ya uume

Mimi ni kijana ambae niko mtaani nafanya mishe zangu fresh ila kuna jambo linanitatiza sana, mwenye ujuzi naomba anisaidie.

Ni hivi; nina maumbile madogo ya uume mpaka najiogopa. Nimekuwa nikitemwa na kuzarauliwa na kila msichana ambaye nakuwa naye kwenye mahusiano.

Hii hali huwa inanitesa sana, hivyo kama kuna mdau anajua njia bora na ya asili ya kuongeza maumbile anisaidie hii hali haivumiliki wazee.
Mkuu hakuna dawa ya kuongeza uume. Tafuta msichana/mwanamke mwenye maumbile madogo. Tatizo lako unajikita kwenye magumegume. Hutafaulu.
 
Sungura anaruka ruka huku na kule anaishi miaka chini ya 10, kobe anamwendo mdogo ila ana miaka mingi mwishoni unakuta aliporuka ruka Sungura kwa muda mfupi kobe naye alipita sababu kaishi miaka mingi.

Umenyimwa uume mkubwa kuna kingine umepewa kufidia hilo, Ndivyo nature ilivyo. Tumia ulivyonayo achana na usivyonavyo.
 
8 cm inatosha mzee kunywa maji mengi, tafuta Pumzi yakutosha. kama bado hujiamini tumia hii tips,,,,,, Hakikisha unatumia masaa 2 - 5 kumpelekea moto. kesho yake alale siku nzima,,,,,HIVI VIUMBE UKIVICHEKEA HAVIFAI, VINAMADHARAU
Binafsi, mimi na haka ka nchi 5 nilimpelekea moto demu mmoja akawa analia sana, kwa bahati mbaya akakohoa kwa kuwa nilimkaba shingo sana, kukohoa tu, kakanyofoka kunako, binti aliangua kicheko cha kilio. Baada ya hapo nilisokomezea paipu kwa kadri nilivyoweza, lakini alibaki akinicheka tu
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2865241
Tumetumia sana mkuu, lakini mambo ni bila bila, mpaka na ile inayoitwa Bazouka Cream lakini hakuna kitu, kwa masai yule wa Malkia Nyuki Twitter tumeenda, tumeishia kuchanjiwa tu bila matokeo yoyote. Hakuna dawa ya kuongeza uume full stop
 
Tallbata tafuta mafuta ya mzaituni MLS 10, - chupa 3.
👉Kitunguu swaumu robo kilo, Kisha vitwange mpaka vilainike.
👉Kaanga katika sufuria hayo mafuta na vitunguu swamu.
👉Mpaka vibadilike rangi, Kisha acha yapoe na uhifadhi katika chupa ndogo yenye mfuniko.
👉Kabla ya kuanza kutumia dawa, pima ukubwa na urefu was uume wako- ili ufahamu.
👉Utakuwa una uchua uume wako kwa maji ya uvugu vugu(ndani ya dk 15).
👉Kisha ndo una Chua uume kwa mafuta hayo, uliyo andaa.
👉Hakikisha haumwagii, maana ni hatari na haifai(Utakuwa mwanachama was nyetooz).
👉 Tumia wiki 2- 4 Natumai Utaona mabadiliko. 🙏
 
Tallbata tafuta mafuta ya mzaituni MLS 10, - chupa 3.
👉Kitunguu swaumu robo, Kisha vitwange mpaka vilainike.
👉Kaanga katika sufuria hayo mafuta na vitunguu swamu.
👉Mpaka vibadilike rangi, Kisha acha yapoe na uhifadhi katika chupa ndogo yenye mfuniko.
👉Kabla ya kuanza kutumia dawa, pima ukubwa na urefu was uume wako- ili ufahamu.
👉Utakuwa una uchua uume wako kwa maji ya uvugu vugu(ndani ya dk 15).
👉Kisha ndo una Chua uume kwa mafuta hayo, uliyo andaa.
👉Hakikisha haumwagii, maana ni hatari na haifai(Utakuwa mwanachama was nyetooz).
👉 Tumia wiki 2- 4 Natumai Utaona mabadiliko. 🙏
Watu na experience zenu, sema ni vizuri ajifunze kwa aliewahi pona tatizo
 
Back
Top Bottom