Ndugu zangu,
Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3.
Sasa, maumivu haya huwa makali mida ya saa 11 alfajiri mpaka saa 1 au hutokea nikilala muda mrefu.
Nimefanya vipimo kama utra sound, fullb bood picture katika hospitali mbalimbali ikiwemo Bugando ila MAJIBU ni kuwa sina ugonjwa wowote.
Naomba msaada wataalam
Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3.
Sasa, maumivu haya huwa makali mida ya saa 11 alfajiri mpaka saa 1 au hutokea nikilala muda mrefu.
Nimefanya vipimo kama utra sound, fullb bood picture katika hospitali mbalimbali ikiwemo Bugando ila MAJIBU ni kuwa sina ugonjwa wowote.
Naomba msaada wataalam