Nina maumivu makali ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto. Ni ugonjwa gani huu?

 

Attachments

  • IMG-20241108-WA0019.jpg
    160.5 KB · Views: 11
Pole.
Acha sukari kabisa
Acha soda zote
Acha juisi zote
Acha mafuta, punguza sana chumvi.

Fanya mazoezi hata mepesi mepesi.

Take care yourself, God will do mercy for you.
 
Maumivu yako upande wa kushoto yaani Kati ya ubavu wa mwisho na nyonga
Maumivu haya hutoweka tu baada ya kuamuka na kuchoza kwa jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…