Ndugu zangu,
Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3.
Sasa, maumivu haya huwa makali mida ya saa 11 alfajiri mpaka saa 1 au hutokea nikilala muda mrefu.
Nimefanya vipimo kama utra sound, fullb bood picture katika hospitali mbalimbali ikiwemo Bugando ila MAJIBU ni kuwa sina ugonjwa wowote.
Naomba msaada wataalam
Anayekubali kushindwa ndiye mshindani mzuri, embu nyamaza kuonesha ushindi na kuufunga mjadala.Bangi mimi nakunywa na kujifukiza.
Maumivu yako upande wa kushoto yaani Kati ya ubavu wa mwisho na nyongaPole sana.
Maumivu makali kwenye ubavu na nyonga ya kushoto: una maanisha maumivu yako tumboni upande wa kushoto au vipi?
Ni muhimu kujua zaidi kuhusu hayo maumivu mbali na kuwa makali alfajiri vipi ukikojoa yanapungua au kuongezeka makali? Ukinywa maji vipi yanakuwaje?
AsanteeeeePole sana ndugu yetu!