Nina mgonjwa nahitaji kwenda India naomba connection

Nina mgonjwa nahitaji kwenda India naomba connection

Wakuu Nina mgonjwa anatakiwa operation ya ziwa, naomba nisaidieni agency contact au watu wanaohusika na matibabu ya kwenda India. Natanguliza shukrani za dhati kabisa kwa waungwana. God Bless You.
Kwanza, mpe pole sana ndugu yetu.

Lakini pia, ungesema ndugu yenu anaumwa nini. Operation za ziwa zinatofautiana. Anaumwa nini? Mpaka mmechagua kwenda India maana yake tayari mmeshauriana na kuamua kwa pamoja.

Achana na Agency, fika katika Ubalozi wa India nchini. Wao bila kukutoza gharama za uwakala watakusaidia katika kila hatua.

Kuanzia kukushauri, kukuunganisha na taratibu zote za Visa.

Epuka sana kutumia vishoka. Watakupiga.
 
Wakuu Nina mgonjwa anatakiwa operation ya ziwa, naomba nisaidieni agency contact au watu wanaohusika na matibabu ya kwenda India. Natanguliza shukrani za dhati kabisa kwa waungwana. God Bless You.
Mkuu

Pole sana na pole nyingi zaidi kwa mgonjwa, tunawaombea faraja na uvumilivu katika kipindi hivi kigumu

Experience

  • APOLLO ni 1 ya hospital bora kabisa in terms of support, price and customer services.
  • APOLLO have 1 of the best support system kuanzia patient recruitment, support na huduma

All you have to do, tembelea website yao then wasiliana nao, kutoka hapo mengine yatafuata: Best Hospital in Delhi | Top hospital in Delhi | Delhi hospital

1721829811747.png
 
Pole kwa kuuguza mkuu. Ushauri wangu; kuhusu hosp yoyote utakayotajiwa hakikisha unafanya uchunguzi wa kutosha kuhusu; 1. Uwezo wao 2. Maoni (reviews) za waliotibiwa hapo 3. Uwezo, uzoefu na maoni kuhusu madaktari wao ( wa tatizo linalowapeleka) 4. Gharama zao.
Kila la kheri na Mungu amsaidie mgonjwa wako.
 
Pole kwa kuuguza mkuu. Ushauri wangu; kuhusu hosp yoyote utakayotajiwa hakikisha unafanya uchunguzi wa kutosha kuhusu; 1. Uwezo wao 2. Maoni (reviews) za waliotibiwa hapo 3. Uwezo, uzoefu na maoni kuhusu madaktari wao ( wa tatizo linalowapeleka) 4. Gharama zao.
Kila la kheri na Mungu amsaidie mgonjwa wako.
Shukrani sana
 
Mkuu

Pole sana na pole nyingi zaidi kwa mgonjwa, tunawaombea faraja na uvumilivu katika kipindi hivi kigumu

Experience

  • APOLLO ni 1 ya hospital bora kabisa in terms of support, price and customer services.
  • APOLLO have 1 of the best support system kuanzia patient recruitment, support na huduma

All you have to do, tembelea website yao then wasiliana nao, kutoka hapo mengine yatafuata: Best Hospital in Delhi | Top hospital in Delhi | Delhi hospital

View attachment 3050936
Asante sana sana
 
Kwanza, mpe pole sana ndugu yetu.

Lakini pia, ungesema ndugu yenu anaumwa nini. Operation za ziwa zinatofautiana. Anaumwa nini? Mpaka mmechagua kwenda India maana yake tayari mmeshauriana na kuamua kwa pamoja.

Achana na Agency, fika katika Ubalozi wa India nchini. Wao bila kukutoza gharama za uwakala watakusaidia katika kila hatua.

Kuanzia kukushauri, kukuunganisha na taratibu zote za Visa.

Epuka sana kutumia vishoka. Watakupiga.
Shukrani sana
 
Pole.
Nina namba ya Dr mmoja humu anaweza kukusaidia, niite PM
 
Wakuu Nina mgonjwa anatakiwa operation ya ziwa, naomba nisaidieni agency contact au watu wanaohusika na matibabu ya kwenda India. Natanguliza shukrani za dhati kabisa kwa waungwana. God Bless You.
Wadau Nawashukuru Sana wote kwa Msaada wenu wa maoni Pole na Maombi Yenu Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kujitoa Muda wenu. Hapa nimeshapata Pa Kuanzia.
 
Wakuu Nina mgonjwa anatakiwa operation ya ziwa, naomba nisaidieni agency contact au watu wanaohusika na matibabu ya kwenda India. Natanguliza shukrani za dhati kabisa kwa waungwana. God Bless You.

Pole sana epuka Madalali wa hospital. Watakupiga hela.


Ushauri wangu tembelea tovuti za hospital tofauti za india. Kisha wasiliana nao kwa email.

Watakuomba vipimo vya awali vya mgonjwa. Utascan na kuwatumia.. wao watakupa makadirio ya gharama ya matibabu.

Hakuna ugumu wowote
 
Back
Top Bottom