Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Bado hujachelewa. Angalao ungekuwa na 44 ndio ningeshangaa
 
Tupo wengi aiseee mi naenda 24 sasa simjui mdada yupoje..

Nimejaribu nashindwa najikuta nina aibu sana aiseee
 
Kuna comment ya mtu sijaiona😹😹au ndo yeye sijui?!!!!!
 
Kwanza ina simama tuaanzie hapo kwanza?
Kama ina simama na huwa kuna muda hisia za mapenzi zinakuijia hapo haina shida yeyote, maana mwanaume ukisha weza kudhibiti hisia za nyege zako una asilimia kubwa ya kutoboa na kuishi kwa amani.
Ila kama haisimami na huwa huna hisia za mapenzi basi hilo ni tatizo kubwa kwako unatakiwa kupatiwa matibabu.
Kutoboa nini?
Puto?
Pua?
Sikio au kutoboa suruali matakoni?
Kama unazungumzia kufanikiwa kimaisha unajibeba ufala anza kuchakata K kwa kadri uwezavyo maana hakuna uhusiano baina mafanikio na kutokula k
Ukiwa zezeta wa K ndio hufanikiwi lakini kama unaijua kanuni ya kula K huwezi kukwama eti kisa K..
Anaebisha aje PM.
 
Ok hapo ungesema yakwamba kukwichi kwichi unasubiri ndoa ningekuambia hongera. Lakini kwakuwa umesema kuwa unaogopa na kwakuwa hujaomba msaada wakukutoa uoga bali ulichoomba ni kuambiwa hali hiyo inayokukuta ikoje basi ntakwambia.

hapo ni kwamba moyo unataka lakini akili nayo inakutia uoga iko hivi kijana anaeogopa mwanamke akimsogelea au kukutana usokwa uso kijana huyo utetemeka hadi moyo wake kudunda kwa kasi. Na hapo hatakama kijana huyo anatamani kufanya hawezi kujitetea mbele ya mwanamke kwahiyo mchawi wako sio mwili wako wala sio moyo wako wala sio jilani yako tadhama kila mtu au mwanadamu au kiumbe chochote kiliumbwa na uoga. Lakini utashangaa kwamba kwanini kama uoga ni asili ya kila kiumbe eti mbona vijana wengine ni wajasili?. Basi jibu lako ni [ili kuushinda uoga ni kucheza na akili yako akili ndo inaongoza kilakitu ili uwe jasili cheza na akili yako mwenyewe] fanya mazoezi yako kuongoza akili yako kupata ujasili hapo utatenda chochote kwa kujiamini ukishamaliza kuiongoza akili fanya zoezi hili.
 
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
We jamaa umenikimbusha mbali sana!nilipitia njia Yako hii!!

Hadi nafikisha 22 no sex no dem!

Uoga ulionao ni kupoteza kile ulichonacho kiroho!!yaani hofu ya kupoteza upya wa mwili na roho!!

Unapaswa kuoa rasmi Binti wa ujana wako,muombe mungu akupatie wa kufanana na wewe!na hapo ndipo mtihani ulipo coz unajikuta unapendwa sana na mabinti Tena sana!wanavutwa na nguvu fulani Mioyoni mwao ambayo wewe unayo!!

Maombi plus kaoe tu!!
 
We jamaa umenikimbusha mbali sana!nilipitia njia Yako hii!!

Hadi nafikisha 22 no sex no dem!

Uoga ulionao ni kupoteza kile ulichonacho kiroho!!yaani hofu ya kupoteza upya wa mwili na roho!!

Unapaswa kuoa rasmi Binti wa ujana wako,muombe mungu akupatie wa kufanana na wewe!na hapo ndipo mtihani ulipo coz unajikuta unapendwa sana na mabinti Tena sana!wanavutwa na nguvu fulani Mioyoni mwao ambayo wewe unayo!!

Maombi plus kaoe tu!!
Brroooooo 🙌🏿 Wewe Sasa Ndiyo Umeongea Ahsante Sana Mekuelewa Vyema Sanaa Mno Hilo Ndio Tatizo Langu Naogopaaa Kuogoopa Kiroho Na Kimwili Pia Brother Umenielewa Sana Japo Wengine Wengi Hawajanielewa Ahsante Sana Kwa Ushauri Pia
 
Ok hapo ungesema yakwamba kukwichi kwichi unasubiri ndoa ningekuambia hongera. Lakini kwakuwa umesema kuwa unaogopa na kwakuwa hujaomba msaada wakukutoa uoga bali ulichoomba ni kuambiwa hali hiyo inayokukuta ikoje basi ntakwambia.

hapo ni kwamba moyo unataka lakini akili nayo inakutia uoga iko hivi kijana anaeogopa mwanamke akimsogelea au kukutana usokwa uso kijana huyo utetemeka hadi moyo wake kudunda kwa kasi. Na hapo hatakama kijana huyo anatamani kufanya hawezi kujitetea mbele ya mwanamke kwahiyo mchawi wako sio mwili wako wala sio moyo wako wala sio jilani yako tadhama kila mtu au mwanadamu au kiumbe chochote kiliumbwa na uoga. Lakini utashangaa kwamba kwanini kama uoga ni asili ya kila kiumbe eti mbona vijana wengine ni wajasili?. Basi jibu lako ni [ili kuushinda uoga ni kucheza na akili yako akili ndo inaongoza kilakitu ili uwe jasili cheza na akili yako mwenyewe] fanya mazoezi yako kuongoza akili yako kupata ujasili hapo utatenda chochote kwa kujiamini ukishamaliza kuiongoza akili fanya zoezi
 
Brroooooo 🙌🏿 Wewe Sasa Ndiyo Umeongea Ahsante Sana Mekuelewa Vyema Sanaa Mno Hilo Ndio Tatizo Langu Naogopaaa Kuogoopa Kiroho Na Kimwili Pia Brother Umenielewa Sana Japo Wengine Wengi Hawajanielewa Ahsante Sana Kwa Ushauri Pia
We kwenda huko go have sex
 
Back
Top Bottom