Nina Miaka 27 lakini watu wananiona kama mzee

Nina Miaka 27 lakini watu wananiona kama mzee

Ishi maisha yako bila kujali wengine wanasemaje, unataka kuishi kwa kutaka kusikiliza maneno ya binadam? Utapotea sheikh
 
Sisi wenye nywele vichogoni tu na hatujafikia hata hamsini tulishazoea maneno ya kipuuzi Kama hayo Mara shikamoo ,Mara habari mzee .

Imefika point mtu akishaanza habari za salamu za kizee ni kuwabania huduma unayotoa mpaka aombe msamaha ,huwezi kuniita mzee ilihali bado nguvu ninazo .

Pole hauko pekee yako
 
Kubaliana na hali, tafuta majimama utaishi maisha ya amani.
 
Sisi wenye nywele vichogoni tu na hatujafikia hata hamsini tulishazoea maneno ya kipuuzi Kama hayo Mara shikamoo ,Mara habari mzee .

Imefika point mtu akishaanza habari za salamu za kizee ni kuwabania huduma unayotoa mpaka aombe msamaha ,huwezi kuniita mzee ilihali bado nguvu ninazo .

Pole hauko pekee yako
Wee mzee mdwanzi sana, unaanza kujifunza tabia za kikuda, utakuwa mzee mkuda ukifika uzee halisi
 
Mtindo wangu wa maisha na kuvaa kwangu navaa kama kijana na mambo yangu ni ya vijana lakini watu wananiona kama mzee.

Kuna wazee wamenizidi umri lakini wananiamkia na kunipigia magoti na Mimi nabaki kuwashangaa.Nikijiangalia kwenye kioo naona uumbaji wa Mungu upo sahivi Wala sio mimi sio Mzee kama wao wanavyoniona.

Wengine wananiita Babu.Wengine wanasema nitafute wazee wenzangu niwaoe.Cha ajabu wanashindwa kutambua wao wananiona Mzee ila napiga kazi kama kijana .

Huu ni ugonjwa gani na dawa gani naweza kutumia wataalam maana nimechoka kuitwa na kudhaniwa Mimi ni Mzee wakati Bado Mimi ni Kijana.
kuna mambo mawili tu gentleman,

moja,
huenda pesa imekutembelea mapema, na hiyo ni desturi walio chini yako na jamii nzima huita watu wa aina hiyo kama Mzee, but ni kwasababu ya mkwanja alionao.

Pili,
inawezekana umepigika haswa na stress za maisha na ajira. Halafu bado unakaa kwenu kula kulala bure lakini unaonekana kama wewe ndiyo baba mwenye nyumba mtafuta pesa, kumbe ni mtoto wa mwisho, dah!.

Suluhisho rahisi,
ni kufanya maamuzi magumu ikiwa ni pamoja na kutoka home na kutokomea kwingineko kwenye mazingira mapya na tofauti kabisa ya kujitaftia ikiwa ni pamoja na shambani.

Ni wazi now days,
within five years mtu anazeeka mbaya sana. Stress ni kitu mbaya sana 🐒
 
C
Mtindo wangu wa maisha na kuvaa kwangu navaa kama kijana na mambo yangu ni ya vijana lakini watu wananiona kama mzee.

Kuna wazee wamenizidi umri lakini wananiamkia na kunipigia magoti na Mimi nabaki kuwashangaa.Nikijiangalia kwenye kioo naona uumbaji wa Mungu upo sahivi Wala sio mimi sio Mzee kama wao wanavyoniona.

Wengine wananiita Babu.Wengine wanasema nitafute wazee wenzangu niwaoe.Cha ajabu wanashindwa kutambua wao wananiona Mzee ila napiga kazi kama kijana .

Huu ni ugonjwa gani na dawa gani naweza kutumia wataalam maana nimechoka kuitwa na kudhaniwa Mimi ni Mzee wakati Bado Mimi ni Kijana.
Chai au kahawa!chai bila sukari kunywa Kila mara asubuhi mchana jioni baada ya mlo!

Natural chemicals zilizopo Zina anti -aging process Kwa ngozi!

Jaribu!!
 
kuna jamaa bodaboda, kabla ya kunipakia nikampa shikamoo yake,, akagoma akaanza kujitetea ye ana miaka 32,,

lakini nikamkubalia shingo upande,,
anaonekana age go 🤣
 
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe!
Sijawai kuwa na 🆔 zaidi ya hii na sidhani ntakuja fanya huo ni utoto na kujivunjia heshima...

So Kama umeamua kua na PERCEPTION ya kua ni Mimi siku katazi unaweza kuendelea

Mimi ni mtu MZIMA nisha pita huko kwenye utoto siwezi kuwa na multiple 🆔
 
Sijawai kuwa na 🆔 zaidi ya hii na sidhani ntakuja fanya huo ni utoto na kujivunjia heshima...

So Kama umeamua kua na PERCEPTION ya kua ni Mimi siku katazi unaweza kuendelea

Mimi ni mtu MZIMA nisha pita huko kwenye utoto siwezi kuwa na multiple 🆔
Mzee wangu 👊
 
Back
Top Bottom