15 years gape si mchezo , [emoji23][emoji23][emoji23]
mwanamke anawahi kuzeeka, lets say nipate msichana wa miaka 24 mua huu by the time mimi nafika 60 yeye atakuwa na 45 - hapo mimi bado kabisa nadai - yeye atakuwa ndiyo anaelekea ukingoni......Duuh mume akirud kazin, utadhani baba ako
hapana ndugu, we njoo ujaribu uone mziki....wanyanyua vyuma wengi ni shakulaaaa.....!!! r u one of them?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapenda six pack mume uyo
hapana, utafurahia tu shaka ondoa- cha msingi ni Upendo wa dhati na mimi najua kumfanya msichana afurahie maisha ya ndoa... sababu tayari mi ni mtu mzima naelewa mengi na nimekwepa mishale mingi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora nikuwe mtawa
hahaha nimecheka peke angu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora nikuwe mtawa
Hapana, we ni PM tu utaona mwenyewe....kweli just looking for someone sure!!Picha uliyoweka inaonesha mtafutaji mchumba hayupo serious.
[emoji23][emoji23][emoji23]sifa mfuko au sioSifa ulizotaja ninazo zote na zaidi ila sasa una pesa!!!?
vyote ninavyo, upendo, mshika dini ila tu napena kunyenya vyuma ndiyo mchezo watu tangu nikiwa na miaka 15Vigezo ulivyotaja wewe unavyo?
Yaani unaogopa ila kunakuwa na heshimaDuuh mume akirud kazin, utadhani baba ako
Pesa ni matokeo tu, hata hivyo tutatafuta pamoja - mambo kusaidiana maisha ya leo.[emoji23][emoji23][emoji23]sifa mfuko au sio
39 kwa 24 unaogopa nini sasa, labda kama hujawahi kuwa na mwanaume sawa nitaelewa ila viungo si ni vile vile tu.Yaani unaogopa ila kunakuwa na heshima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio mbaya kikubwa mfukoPesa ni matokeo tu, hata hivyo tutatafuta pamoja - mambo kusaidiana maisha ya leo.
Anamuua na niniUnataka umuue mtoto wa watu
Sifa ulizotaja ninazo zote na zaidi ila sasa una pesa!!!?
Tatizo lako unaendelea kutumia mifuko ya plasticSifa ulizotaja ninazo zote na zaidi ila sasa una pesa!!!?