Barackachess
Senior Member
- Sep 1, 2018
- 156
- 122
Habari, Nililima mihogo mwaka jana ila mpaka sasa ninekosa soko , Mbegu ya mihogo niliyopanda inaitwa MKIU, Jana nikawaza nikasema labda naweza kutengeneza unga wa muhogo nikauchanganya na mahindi nikaongezea ubora nikauza. Je hii imekaaje?