Barackachess
Senior Member
- Sep 1, 2018
- 156
- 122
Unaweza uza kama unga au pia ukauza kama makopa.....kazi ni kwakoHabari, Nililima mihogo mwaka jana ila mpaka sasa ninekosa soko , Mbegu ya mihogo niliyopanda inaitwa MKIU, Jana nikawaza nikasema labda naweza kutengeneza unga wa muhogo nikauchanganya na mahindi nikaongezea ubora nikauza. Je hii imekaaje?
Yes hii imekaa poa sanaUnaweza pia ukapika tu uji ukanywa.
Unaposema makopa unamaanisha nini?Unaweza uza kama unga au pia ukauza kama makopa.....kazi ni kwako
Mkuu jaribu kuchangia kwa lengo lakutoa msaada.kumbuka ametumia pesa nyingi sana...Na Mimi kama mkulima najua jinsi loss inavyo uma.Unaweza pia ukapika tu uji ukanywa.
Unadhani sijawahi kulima? Hata mimi hapa nakula loss ya Vitunguu.Mkuu jaribu kuchangia kwa lengo lakutoa msaada.kumbuka ametumia pesa nyingi sana...Na Mimi kama mkulima najua jinsi loss inavyo uma.
Ahsante sana, Niko mlandiziDaaah pole sana....unaishi wap ambako mihogo haina soko?
Nilitegemea kwa mtu kama wewe ndo ungetoa ushauri wa kujenga kwa sababu tayari umepata loss na natumaini kua ulijifanyia assessment kujua ulikosea wapi na namna ya kukabiri changa moto.Unadhani sijawahi kulima? Hata mimi hapa nakula loss ya Vitunguu.
Una maana gani?Nilitegemea kwa mtu kama wewe ndo ungetoa ushauri wa kujenga kwa sababu tayari umepata loss na natumaini kua ulijifanyia assessment kujua ulikosea wapi na namna ya kukabiri changa moto.
Otherwise kama bado hujakubaliana na hiyo hali ya loss ni bora unyamaze kuliko kutoa ushauri wa hasira na kudidimiza mtu.Ubarikiwe ndugu
Acha kuleta mizaha kwenye matatizo ya watu wewe. Hebu nenda Jukwaa la Utani huko.Unaweza pia ukapika tu uji ukanywa.
Lipo wapi mkubwa?.Hujatafuta soko seriously broo.soko lipo
Sure Mkuu!!!, aache mizaha huyo.Mkuu jaribu kuchangia kwa lengo lakutoa msaada.kumbuka ametumia pesa nyingi sana...Na Mimi kama mkulima najua jinsi loss inavyo uma.
Kwa hiyo...??!!!.Unadhani sijawahi kulima? Hata mimi hapa nakula loss ya Vitunguu.
Daah [emoji23]Unaweza pia ukapika tu uji ukanywa.
Kaka kwa majibu yako utalogwa wana vyuma vimekaza.Unaweza pia ukapika tu uji ukanywa.