Unakulaje loss ya vitunguu sasa nunua Nyanya katakata kachumbali mtafute huyu jamaa mwenye mihogo mchukue mkaange mle .Unadhani sijawahi kulima? Hata mimi hapa nakula loss ya Vitunguu.
Your smartUnakulaje loss ya vitunguu sasa nunua Nyanya katakata kachumbali mtafute huyu jamaa mwenye mihogo mchukue mkaange mle .
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakulaje loss ya vitunguu sasa nunua Nyanya katakata kachumbali mtafute huyu jamaa mwenye mihogo mchukue mkaange mle .
Dsm uhitaji ni mkubwa sana, kama utaweza safirisha ndg au ongea na wafanyabiashara wa sokoni waufate mzigo shambani (hapa watakulalia sana bei,ukisafirisha mwenyewe ni better zaidi)Habari, Nililima mihogo mwaka jana ila mpaka sasa ninekosa soko , Mbegu ya mihogo niliyopanda inaitwa MKIU, Jana nikawaza nikasema labda naweza kutengeneza unga wa muhogo nikauchanganya na mahindi nikaongezea ubora nikauza. Je hii imekaaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakulaje loss ya vitunguu sasa nunua Nyanya katakata kachumbali mtafute huyu jamaa mwenye mihogo mchukue mkaange mle .
sasa kiongozi mbona kazi ndogo sana fanya hivi chukua mihigo yako then pakia kwenye kirikuu then tafuta soko lolote tu paki then michache mwaga chini watu lazima wanunue tena mida ya jioniAhsante sana, Niko mlandizi
Niko mlandizi bossUko wapi!?
Una mawasiliano na mtu yoyote pale, Wiki ujayo nitaaenda hapo.Dar bugurun watu wanaitafuta baraaaaa
Upo sahihi nakubaliana na wwMihogo Ulaya inauzwa bei mbaya sana kwenye supermarkets na ethnic shops. Mara nyingi inatoka India, Jamaica na Latin America.
Wahindi humenya na kuifreeze, kilo moja inafika Tsh10,000. Kama tutaweza kujisogeza hata mkulima akipata Tsh 4,000 solo likiwa la uhakika itamsaidia
Nimejaribu lakini mbegu hii MKIU , watu wanaikwepa sana, Mihogo hii ganda lake ni jekundu. Wengi wanavutiwa na yenye ganda jeupeMkuu ulijaribu kutafuta masoko masokoni??Mimi next week nadhani ntaanza kutafuta masoko ya mihogo
Nashukuru kakaDsm uhitaji ni mkubwa sana, kama utaweza safirisha ndg au ongea na wafanyabiashara wa sokoni waufate mzigo shambani (hapa watakulalia sana bei,ukisafirisha mwenyewe ni better zaidi)
Unategemea na mbegu, Hii mbegu niliyonayo imekuwa kikwazounakosa vipi soko la mihogo wakati mihogo inaliwa kila siku ?
kipande cha 200 kidogo halafu unasema hakuna soko dahh
Wiki ijayo nishaanda bajeti ya kufanya hivyosasa kiongozi mbona kazi ndogo sana fanya hivi chukua mihigo yako then pakia kwenye kirikuu then tafuta soko lolote tu paki then michache mwaga chini watu lazima wanunue tena mida ya jioni
Hiki ndo nataka nikifanye aiseesasa kiongozi mbona kazi ndogo sana fanya hivi chukua mihigo yako then pakia kwenye kirikuu then tafuta soko lolote tu paki then michache mwaga chini watu lazima wanunue tena mida ya jioni