D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Ushauri mzuri wakiuzingatiaMaana yule jamaa kunywa uji wa muhogo haunogi. Bora mihogo na kachumbali.
Nashukuru nimekuelewa sasaMihogo iliyokaushwa nanjua na kuwa imekauka ndo makopa
Nimekupata nashukuru kiongozi.Ukiipika mihogo hiyo mikavu tuniata makopa
Seriously....ndiyo maana hata soko lako huwezi kujua nani wa kumuuzia kama hata makopa hujuiUnaposema makopa unamaanisha nini?
Bangi hiz ni mbaya sana mita 50 ni nusu ya uwanja mpira kama ulikuwa hujuiKuna mbegu ipo Songea inaitwa Muache atambae. Hii mbegu ni noma. Ukipanda karibu na nyumba utaona nyufa tuu. Ina mihogo mirefu hadi mita 50
Acha ukuku wewe. Mwezako yupo cliaziUnaweza pia ukapika tu uji ukanywa.
Umeshinda!Acha ukuku wewe. Mwezako yupo cliazi
Hivi kuandika neno serious kama cliazi sio ukuku kweli..!!!??[emoji848][emoji848][emoji848]Acha ukuku wewe. Mwezako yupo cliazi