Gabby msafi
Member
- Apr 28, 2023
- 66
- 93
Nina 1.M nawaza kuwa Wakala wa kutoa pesa na ktuma pesa wazoefu inalipa kweli?
Wenye experience na hii kazi Ina faida kweli
Wenye experience na hii kazi Ina faida kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina 1.M nawaza kuwa Wakala wa kutoa pesa na ktuma pesa wazoefu inalipa kweli?
Wenye experience na hii kazi Ina faida kweli
ThanksSishauri utume hela kwa mtu ufanyiwe delivery..unless mnajuana.. location wapi kwa mtaji huo wa m1
Hapo bado Frem, bado simu, bado deco. hiyi M fanya mambo menginr maana haitoshi hata kwenye mzunguko wa biasharnataki
Nianze na shingapi nijipange kakHapo bado Frem, bado simu, bado deco. hiyi M fanya mambo menginr maana haitoshi hata kwenye mzunguko wa biashara.
Asante Kwa ushauriAchana na huyo fala hapo juu, ngoja akina financial services waje kukupa muongozo.
Asante kak Kwa ushauri 🙏Mtafute jamaa mmoja humu Jana kapost wanauza simu vitochi.Yeye alisema laki Moja unapata simu tano ukiuza faida ni kama 50k.Wewe utaweka na vifaa vya simu na fundi.Baada ya hapo utanitumia na ya kutolea.Alisema wako Chamazi dar na delivery anafanya.
Naomba ufafanuzi hapa,umemaanisha nini?Mtafute jamaa mmoja humu Jana kapost wanauza simu vitochi.Yeye alisema laki Moja unapata simu tano ukiuza faida ni kama 50k.Wewe utaweka na vifaa vya simu na fundi.Baada ya hapo utanitumia na ya kutolea.Alisema wako Chamazi dar na delivery anafanya.
Biashara yoyote halali inalipa as long as ukipata sehemu sahihi( mzunguko wa wateja wanaohitaji hiyo bidhaa ama huduma)Achana na huyo fala hapo juu, ngoja akina financial services waje kukupa muongozo.
hizo cm kama hutaki lawama muuzie asiyekujua!Mtafute jamaa mmoja humu Jana kapost wanauza simu vitochi.Yeye alisema laki Moja unapata simu tano ukiuza faida ni kama 50k.Wewe utaweka na vifaa vya simu na fundi.Baada ya hapo utanitumia na ya kutolea.Alisema wako Chamazi dar na delivery anafanya.
zina nini mkuu?hizo cm kama hutaki lawama muuzie asiyekujua!
AsaKwa PESA hiyo ni ndogo mtaji unatakiwa angalau 3milion
Pia zingatia na location