wajameni mie nataka kurudi bongo kufanya business, nina mtaji wa kama milion200 hivi, je ni biashara gani ambayo itanifaa? nilikuwa nawaza kufungua warehouse ya kuhuza vitu vya ujenzi lakini sijui pa kuanzia any ideas pls. niko abroad! thanx
Kama unapenda uana zuoni hizo unaweza kuanzisha shule ya msingi au sekondari. Sheria ya kuanzisha shule tanzania inataka uwe walau una minimum ya ekari 3, ujenge madarasa 3. maktaba, maabara na toilets pamoja na ofisi za walimu. Ukiweka walimu wazuri chukuwa kila darasa wanafunzi 35 wakulipe milioni 2 kwa mwaka ukiwa na Streams A na B utakusanya mil 75 kwa mwaka gharama za uendeshaji bila kujali kuwekeza upya, {madarasa mapya} haitazidi asilimia 35. shule kodi nyingi ni msamaha. Nipe mimi dola 5000 Nikuandikie mchanganuo na nitakusaidia hadi kusajili shule. Au twanga +255 718 194606
...... kama uko merekani njoo na plan ya portable houses hiyo itakulipa sana. ...........
Na sio hapo tu pia wananchi (yaani watz) utaweza kuwajengea na kuwauzia hizo plan. Iringa kuna mbao za kutosha sana za mradi kama huo. Bila kusahau mabenki mengi yatakutafuta na sio wewe utakao watafuta.
....mfano universities zetu zina uhaba wa mabweni you will be in position to resolve hi shida na pia utapewa viwanja au maeneo ya wazi ya chuo husika bure kwa vile utakua uwasaidia sana kwa upande wa accommodation.
fafanua tafadhalikwa millioni 200 unaweza kununua kiwanda cha Cement kidogo,unakifunga in a place near Dar.pesa yako itarudi fasta tu.ukilipenda wazo eleza nitakufafanulia hapa wazi kabisa
Inategemea wewe upo comfortable kufanya kitu gani na una experience kiasi gani,
Ushauri kwa kuanzia Dont Put All Your Eggs in One Basket, unaweza ukaspread pesa yako katika investment tofauti
There is no substitute for experience biashara yoyote anza polepole na kidogo kidogo learn as you go along
Be carefull na wabongo, wabongo uliowaacha enzi unaondoka sio wabongo wa sasa..., sound nyingi, hawawezi kusema hawajui wala kitu hakiwezekani ila utekelezaji ni sifuri (trust me I know this through experience..)
Tumia advantage uliyonayo ya exposure ya huko nje ulipo, Je kuna product huko unazoweza kuleta huku au product huku ambayo unaweza kupeleka huko (sometimes contacts and who you know can do wonders)
Kabla hujaja angalia auctions za huko unaweza kupata vitu vya agriculture ambavyo ushuru wake ni mdogo sana na unaweza ukaleta huku na kuuza au kukodisha (what I mean unaweza ukaja na vifaa ambavyo ni bargain huko na huku vikakusaidia)
Kumbuka.., we are our own worse enemies...,
1. IDENTIFY YOUR PASSION
2. DO YOUR RESEARCH
3. SET FIXED GOALS
4. HAVE AN EXIT STRATEGY
Asanteni sana wadau, comments zune zimenifungua snaa macho, nimeziprint and then nitazifania kazi. si unajua tena Dar land it is very expensive, nitaangalia maeneo ya morogoro pia. mungu awabariki sana.
Asanteni sana wadau, comments zune zimenifungua snaa macho, nimeziprint and then nitazifania kazi. si unajua tena Dar land it is very expensive, nitaangalia maeneo ya morogoro pia. mungu awabariki sana.
Ni pm nikupe dili fasta.
Ha ha ha ha lol!!!!!!!!!!Hilo dili weka hapa wote tuone na tunufaike na mawazo yako, ili kama hayafai tukueleze. Au unataka kumuingiza town?
Nakushauri uendelee na wazo lako la Vifaa vya Ujenzi