Ndio sababu Nikamshauri mwanzo experience yake ni muhimu? Sababu hakuna substitute ya experience...
Mfano kama ana experience na ujenzi anaweza hata akaja na vifaa vya ujenzi na kukodisha...
Kwa hiyo mkuu usi-underestimate experience yako, au ujuzi wako sababu that is what will put you miles apart from the rest
- Hivi unajua vitu kama concrete mixer, au vile vifaa vile vya kujengea ghorofa (kwenye nguzo) unaweza kukodisha kwa shs ngapi kwa siku?
- Sababu kulikuwa na mtikisiko wa uchumi ulimwenguni vifaa vingi unaweza kupata kwa bargain huko ulaya, na kwa bei ya chee ukaja kukodisha huku dar
- Pia watu huku bado wanamwaga zege kwa kupokezana karai.., unaweza ukaja na concrete pump ambayo zege linachanganywa chini na kwa pipe linarushwa mpaka ghorofani kazi ya masaa inafanywa kwa dakika
Hizo ni pesa nyingi sana na ni pesa ndogo sana. Inategemea. Kama unapenda kilimo, sikuhizi kilimo ni biashara siyo kama zamani. Kwa pesa hiyo utaweza pata eneo na ili upate mfumo wa umwagiliaji maji, mahindi ya kuchuma yanafaida kubwa kwani utalima kwa mwaka mara 6 na kila ekari moja itakupatia mahindi elfu 28 mgegu ya mahindi mawili mawili.
Kama unapenda uana zuoni hizo unaweza kuanzisha shule ya msingi au sekondari. Sheria ya kuanzisha shule tanzania inataka uwe walau una minimum ya ekari 3, ujenge madarasa 3. maktaba, maabara na toilets pamoja na ofisi za walimu. Ukiweka walimu wazuri chukuwa kila darasa wanafunzi 35 wakulipe milioni 2 kwa mwaka ukiwa na Streams A na B utakusanya mil 75 kwa mwaka gharama za uendeshaji bila kujali kuwekeza upya, {madarasa mapya} haitazidi asilimia 35. shule kodi nyingi ni msamaha. Nipe mimi dola 5000 Nikuandikie mchanganuo na nitakusaidia hadi kusajili shule. Au twanga +255 718 194606
afu mwambie kabisa shule ni long term investment cos haitaweza kumpa returns immediately incase na yeye anazitegemea 100% hizo hela alizochanga km mtaji.
Mkuu kibogo bongo hiyo ni pesa nyingi sana kama ukitulia, ndio maana naona wengi hawatoi majibu ya kueleweka, most of time humu tumezoea kushauriana na vimitaji vya milioni 3 hadi 20 hivi, sasa hii ni changamoto mpya.
Kwa mtaji huo nakushauri ukija bongo kawaone business consultant ya kueleweka watakushauri vizuri zaidi jinsi ya kuinvest pesa yako.
Hongera mkuu, mimi nina milioni 7 nimeshindwa hata nianzishe nini kila mradi nikifanya tafiti nakuta haitoshi, matokeo nimeikimbiza bank ktk fix account navuta subira
ufafanuzi:fafanua tafadhali
wajameni mie nataka kurudi bongo kufanya business, nina mtaji wa kama milion200 hivi, je ni biashara gani ambayo itanifaa? nilikuwa nawaza kufungua warehouse ya kuhuza vitu vya ujenzi lakini sijui pa kuanzia any ideas pls. niko abroad! thanx
ufafanuzi:
unaweza kujenga a small Cement production line from India kwa hizo pesa.in 2009 niliattend trade fair pale DiaMond in Dar.kuna kampuni inauza Cement production lines.
Founder wa hiyo kampuni alianza kutengeneza cement ya 250Kg per day kulikuwa na shida sana ya cement in India by then ,baada ya miaka kadhaa akawa na kiwanda cha kutengeneza machine za cement.so the strory goes now they are a major cement production line co. in India.
so anaweza kuanza na prodouction line ya 50Ton per day ,the akauza kwa wateja directly e.g. Construction companies na kwa kuwa ni kampuni ndogo overheads zitakuwa ndogo sana kulinganisha na Twiga cement, etc.
Watanzania tunafikiri viwanda huwa ni lazima viwe vikubwa sana,la hasha .
my personal experience ni kiwanda cha sababuni ambacho production line inatoa 200 cartoons per day. na quality ni nzuri kuliko ya viwanda vikubwa ,pia inafaa zaidi ktk maji chumvi ya visima.demand ni kubwa sana tatizo ni Raw materials hapo ndo unapobanwa na viwanda vikubwa.
Ingine iliyotulia ni uwe na compressor zakuzibua visima.Zinauzwa 10 mill na apparently zina guarantee ya kukuletea not less than 400,000 per week. Kahela kazuri kakupush vimambo kidogo kidogo hapa bongo.
MANYUSI said:Kuna biashara moja ya PVC pipes itakuwa hot soon maana kuna miradi ya maji inatarajia kuanza nchi nzima na hamna reliable supplier wa hiyo kitu contractors wengi wanategemea plasco lakini anachemsha sasa kama huko uliko kuna viwanda vya plastic pipes jaribu kutembelea viwili vitatu utafute marafiki,ungewea kupata viwanda vya china ingekuwa bora zaidi au Dubai ni nafuu ukitafuta pipe za ulaya hazilipi kwa hapa kwetu.
KURUNZI said:niandikie emal sadetmediatz@gmail.com nitakutumia some printing machine na tukahabarishana zaidi
Pia unaweza kuwekeza nchi za nje hasa kwa kununua apartments za ghorofa mbili au hata zaidi na kuzipangisha. Ni biashara yenye faida kubwa sana hasa ukibahatika kupata maeneo yaliyo jirani na vyuoni.
Mjomba mbona unataka umtoe nje na wakati akiwekeza hapa anatuletea ajira kwa waanetu
nimelipenda hili wazo. Tena wanafunzi wengi huwa wanahangaika kupata hostel. Nafikiri itamlipa.Ni wazo zuri sana kuwekeza nyumbani . Pia unaweza kuwekeza nchi za nje hasa kwa kununua apartments za ghorofa mbili au hata zaidi na kuzipangisha. Ni biashara yenye faida kubwa sana hasa ukibahatika kupata maeneo yaliyo jirani na vyuoni.
Pia unaweza kuwekeza nchi za nje hasa kwa kununua apartments za ghorofa mbili au hata zaidi na kuzipangisha. Ni biashara yenye faida kubwa sana hasa ukibahatika kupata maeneo yaliyo jirani na vyuoni.
Mkuu Manzese hipi unayonzungumzia ya kununua mtaa mzima kwa 200m:coffee:mimi nakushauri kama unaweza pata dalali mzuri ukanunua mtaa mzima kama manzese ambao unaweza pata na barabara inayotoka. unaweza jenga hoteli ambayo itakulipa kwa haraka sana.
duh asante sana mkuu this is really helpful man.lily kuna jamaa juzi kaniambia yeye anatafuta viwanja cheap na kujenga standard houses. The total cost kwa kiwanja na nyumba mpaka isimame ni 80 mill. Then yeye ana uhakika wa kuuza 150 mpaka 200. Sikufwatilia madai yake na inaonekana ni kazi ya ku hustle hustle hivi.
Ingine iliyotulia ni uwe na compressor zakuzibua visima.Zinauzwa 10 mill na apparently zina guarantee ya kukuletea not less than 400,000 per week. Kahela kazuri kakupush vimambo kidogo kidogo hapa bongo.