Nina milioni 3(tsh) nianzishe mradi gani

Nina milioni 3(tsh) nianzishe mradi gani

idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air
  • [TABLE="width: 24"]
    [TR]
    [TD="width: 64, align: right"][/TD]
    [/TR]
    [/TABLE]

Good...stay focused and determined mkuu, u shall achive.
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air
  • [TABLE="width: 24"]
    [TR]
    [TD="width: 64, align: right"][/TD]
    [/TR]
    [/TABLE]

Umenkosha sana kaka ubarikwe kokote ulipo
 
Mkuu nipe hapa naenda kulimia alafu nakupa 25% faida nikishavuna, mim ndo kazi yangu hii kuna watu wananipa hela na nawapa 25% faida. nina wadhamini na tunaenda kuandikishana kwenye chombo kinachofahamika kisheria. nipm mkuu tafadhali
 
Mkuu nipe hapa naenda kulimia alafu nakupa 25% faida nikishavuna, mim ndo kazi yangu hii kuna watu wananipa hela na nawapa 25% faida. nina wadhamini na tunaenda kuandikishana kwenye chombo kinachofahamika kisheria. nipm mkuu tafadhali

mkuu hiyo post ina miaka mitatu sasa
 
Back
Top Bottom