Nina milioni tano nataka kuagiza gari Japan

Nina milioni tano nataka kuagiza gari Japan

Kuna gari inaitwa nissan duet kwenye show room unapata kwa six mil net... Kwa kuagiza inapungua zaidi ya hapo. Usidanganyike. Nenda katika mitandao ya be forwarded au car junction angalia utafanikiwa tu. Usife moyo. Goodluck
Uhm,

Samahani, unauhakika na hilo jina.?!
(Nissan duet)
 
Kuna gari inaitwa nissan duet kwenye show room unapata kwa six mil net... Kwa kuagiza inapungua zaidi ya hapo. Usidanganyike. Nenda katika mitandao ya be forwarded au car junction angalia utafanikiwa tu. Usife moyo. Goodluck
Hivi ni nissan duet?? 4
Au toyota duet?? Binafsi sijawahi ona nissan duet.. ..
 
Kuna gari inaitwa nissan duet kwenye show room unapata kwa six mil net... Kwa kuagiza inapungua zaidi ya hapo. Usidanganyike. Nenda katika mitandao ya be forwarded au car junction angalia utafanikiwa tu. Usife moyo. Goodluck
duet ni toyota..
 
Hao wanakwambia uwatafute kwa namba zao za simu kuwa nao makini utalizwa.

Kama unataka gari used be forward ni wazuri ingia utakutana na magari mengi yenye bei tofauti,chagua gari kabla hujalipia nenda tra watakufanyia makadirio ndipo utakapoa amua.

Binafsi nilifanya hivyo na ilinichukua mwezi tu nikaipokea gari yangu
Kwa milioni tano!?
 
Back
Top Bottom