Nina million 5 natafuta gari

Joined
Jul 21, 2020
Posts
57
Reaction score
60
Habari wakuu, katika kuupiga mwingi ndugu yenu na mimi nimeguswa na upako wa Bi mkubwa, sasa hizi million tano nilizo otea naombe mnishauri nitafute gari gani used.

1. Naishi mjini full rami (dsm)
2. KM 8 home to work na kurudi, 4go, 4return
3. Sina crue,watu wengi,familia kubwa ya kubeba
4. Kipato naweza tumia mpka 250k kwaajili ya mafuta, bajeti zangu.

Nishaurini, nimewazia, Swift, Brevis, Alteza je mnashauri ipi.

USISHAURI NIFANYIE BIASHARA PESA, FANYA WEWE SIE WENGINE WAGA NI WATEJA TU.πŸ™
 
Check inbox yako.
 
Kwa bajet ya M5 nadhani unaweza pata vitz au sienta namba C au B mkuu.. low mantainance
 
Kama upo Dar muangalie insta chuma_magari au sossy_magari kwa hapa,kwa mikoa ya kanda ya ziwa kamuangalie amani_used_car magari
 
Vitz new model.
 
Brevis tena.....jini mafuta hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…