Nina mizimu ya simu hatari

Wakuu nimekuwa na urafiki na smartphone yangu kupita kiasi.mimi muda wote na simu.kila muda Niko busy na simu mpaka chooni.kwenye daladala Niko na simu napitia nyuzi za JF
Chonde chonde usiwe na mizimu kama hii[emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…