ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hata mimi nakubali.maana sio Hali ya kawaidaTafuta mtaalam wa kisaikolojia mkuu unatatizo sio bure
Kwa hiyo mniache si bado Niko haikwahyo tukusaidiaje??
He he he heSidhani kama una mapenzi na simu yako kama ilivyo kwangu.
Mimi hadi nikilala naifunika shuka isipate baridi.
Chonde chonde usiwe na mizimu kama hii[emoji116] [emoji116] [emoji116]Wakuu nimekuwa na urafiki na smartphone yangu kupita kiasi.mimi muda wote na simu.kila muda Niko busy na simu mpaka chooni.kwenye daladala Niko na simu napitia nyuzi za JF
[emoji867][emoji867][emoji867][emoji120][emoji1690][emoji123]Chonde chonde usiwe na mizimu kama hii[emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 938821