Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Habari, nina mpango wa kuanzisha cleaning agency, so ninaombi kwa mwenye uzoefu ili nijue mambo mawili matatu.
1) Bei za usafi wa sofa na carpets.
2) Bei usafi wa nyumba nzima
3) Bei kung'arisha sink na tiles.
Na mengineyo mwenye kufahamu pia anisaidie hapo.
1) Bei za usafi wa sofa na carpets.
2) Bei usafi wa nyumba nzima
3) Bei kung'arisha sink na tiles.
Na mengineyo mwenye kufahamu pia anisaidie hapo.