Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

[emoji23][emoji23][emoji23] Mwishoni ikawaje mkuu biz ilitoboa au??
 
Karibu. Fursa ziko kihonda mwendokasi...ukifika tutafute wenyeji
 
1.Kilimo cha umwagiliaji au mvua kaka?

2.una uhakika na maji? Ukilima karibu na mabonde ya maji ni faida.
Imagine unaweka mbegu ya mahindi chini unasubiri mvua moja ipige afu inakataa.

3. Lima mahindi broh chagua mbegu ya ukanda wa kati kama ni morogoro kilombero au tunaita sehemu ya mvua chache.
kila kilo ya mbegu 12000tsh kila ekari kilo nane, mbole ya kuotesha NPK 65000tsh kwa mfuko, ya kukuzia urea, bado busta kama yakidhoofu.

Mi nalima ya maji msimu huu kaka nishaanza tayari na uhakika wa maji upo mwezi wa 12 mavuno siku 110 mpaka 120 ila nina mbegu ya ukanda wa juu.

Nikitoa hata mahindi naweka nyanya

4. 2.5 still you can do other simplest business and grow kama huto overspend the initial profit tulipangaga carwash kaka.

5. Nicheki nikupe mawazo mengine.
 
Unaenda kupoteza hyo hel mkuu mapema sana sana
Manengelo mtaji wa 2.5mil. mi nkienda lima natafuta kijiji chenye pori nakuwa mtu pori.
nasahau ya mjini kiasi, alafu natafuta mwanamke wa hali ya chini alitayari kuolewa na m bichi bichi namuolea huko pori kiaina anakuwa mke yeye atapika na kuokota kuni, na kunisaidia kazi ndogo za shamba. mi nalima tu mahindi, n.k hadi tunajenga geto letu huko huko na ubush wetu, tukija mjini ni motoroooo 😂😂😂😂

sijui wanaume wa mjini tunakwama wapi?kazi kukimbizana na haya madanga ya mjini mpaka tunazeeka hata kitanda na redio ya mbao hatuna, kazi yetu kukaa kwenye miti mirefu eti ni madereva tax...😂😂😂😂
 
Bro nakuja 2yajenge mkuu,,,, asee kumbe upogo na huku kwenye maswala ya shamba [emoji23][emoji23]nikajua unautaalamu wa car wash na kupanga odds za kumuua muindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kivipi ntaenda kupoteza pesa,,, ungenifafanulia kidogo ili unifungue macho
Nimeelewa km unataka kulima..kulima kwa 2.5 ni bora ubaki unalala...! na ukijimix ati ulime mboga mboga utajikuta unazila mwenyrw..mambo sio km 2015 veggies ilikua hot...!
 
Bro nakuja 2yajenge mkuu,,,, asee kumbe upogo na huku kwenye maswala ya shamba [emoji23][emoji23]nikajua unautaalamu wa car wash na kupanga odds za kumuua muindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nipo kotekote boss kikubwa pesa, silaha pesa mjini hata ulete ubishi.
 
Nimeelewa km unataka kulima..kulima kwa 2.5 ni bora ubaki unalala...! na ukijimix ati ulime mboga mboga utajikuta unazila mwenyrw..mambo sio km 2015 veggies ilikua hot...!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilasiku utajikuta unakula majani ya maboga na sukuma week mpaka uwe mmea.
 
Kama unaenda kafanye biashara moja kwa moja kilimo si mchezo hivyo hela niya kuandaa shamba nakununua mbegu tu napenyewe inategemeana vinginevyo labda kama unalima kilimo cha kujikimu chakula cha nyumbani sikukatishi tamaa nakwambia uhalisia
 
Hapo kwa mwenyeji utafeli.

Eiza mtapeana mimba ama utapigwa hela.

Sina mchango wa maana zaidi ya huu, Balimi ndo zimenifikisha hapa.

Happy Nane Nane young man.
Kumbe wakati mwingine huwa unajitoa ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…