Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

Sawa KAMBI POPOTE!
 
Ww ndio nilikua nakuxubiri nilipita uzi fln iv nkaxoma kwamba upo mbaral unapiga hzi mixhe,,, embu nipe mwanga
 
Mwanga!!! Kimbia Apo Mara moja niliwai kwenda hapo kikazi aisee sijui watu wanapaweza vipi Apo mji umetapanya office za Mana na huduma za bank ziko mbali hii ilikua mwaka2010 afu maji Apo Ni changamoto
 
Haaaaa mkuu mbona umetaja mitaa yangu hiyo mbingu, Chita,mlimba na hapo home sweetie mngeta!! Braza ingia wilaya ya KILOMBERO fanya utafiti km unataka kulima au kununua mazao maana risk zinatofautiana
 
Mi namchagulia malinyi kwa mtaji wake utamtosha
 
Haaaaa mkuu mbona umetaja mitaa yangu hiyo mbingu, Chita,mlimba na hapo home sweetie mngeta!! Braza ingia wilaya ya KILOMBERO fanya utafiti km unataka kulima au kununua mazao maana risk zinatofautiana

Niliishi wilaya zote mbili (Kilombero na Ulanga+Malinyi miaka hiyo) Huko mahali huwa nakukubali sana kutokana na ukweli kwamba ni kuzuri kwa kuishi.

Mngeta yote kuanzia Mkusi, Lukolongo, Mchombe, Kotako mpaka Mkangawalo; kote huko nilishatembelea miaka ya mwishoni mwa 90!

Treni ya TAZARA ndiyo kabisaaa, nimeipanda sana kuanzia Dar mpaka Iyunga. Siyo Ordinary, Kipisi, Express, nk. maana ndiyo mkombozi wa wakazi wengi wa wilaya ya Kilombero.
 
Mkuu nina eneo huko eka 6 njoo pm nione namna ya kukusaidia
 
Wakuu nia yangu hasa n kwenda kupiga ishu ya kununua mpunga then nakoboa na kuuza mchele ila kwasababu sina uzoefu na hio biashara nitaenda kulima heka 1 huku nikisoma hio biz ya mpunga 2 mchele inaendaje ili niweze kuanza,,,
Anza na kununua mchele kisha peleka kwenye masoko kama dar,dom na kwingineko au nunua mpunga na baadae kuuza

kama ni kilimo cha hiyo ekari moja hakikisha ni cha umwagiliaji
 
Sema hata kukusanya mchele siku hiz haupandi km zaman..hukuti sasa hv mchele wa 2300 sokoni..unajikuta unahangaikia sh 200@! unajua hata km una 5m kama huna akili ya kujiongeza unaweza jikuta inaishia tu...shida inakuja hapo...!
Suala la mipaka kufungwa ni ishu sana aisee vyakula vimekua vigumu sana kupanda bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…