Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

Yani badala ulime kitunguu huko ambacho kikitiki umeula unataka ukalime mpunga mbona unajichelewesha
 
Mkuu nimekusoma vizuri na asante kwa wazo lako
Yani badala ulime kitunguu huko ambacho kikitiki umeula unataka ukalime mpunga mbona unajichelewesha
Naomba urejee andiko langu la awali,,, cjasema naenda kulima mpunga,, ila naenda kua middle men wakununua mpunga, kukoboa na kuuza mchele
 
Mzee baba kama unataka kuanza maisha Moro usiende town, hakuna mzunguko wa pesa hakuna kazi za kuajiriwa nakushauri uende vijijini huko kama dumila, mgeta matombo, mvomero, kisaki na mkuyuni na ukifika huko fanya biashara ya kununua mazao usilime utafeli mjomba, ama fungua hata banda la kunesha mpira..kilimo kwa mtaji ulionao ni oesa ndogo, moro kutafta pesa kwa njia za halali ni mtihani mzee baba nimekaa hapo si chini ya miaka sita napafaham vizur na maraia wa hapo hawapendi watu watoboe, kama wewe ni mtu wa kaskazini tafta watu waliotokea pande hizo watakupa mwanga kwa maana wanaushirikiano sana na hawawezi kukupoteza lakini wenyeji si watu poa kwa kukushauri wengi wanapenda kuona unaanguka ama unakuwa kama wao.
 
Mzee baba kama unataka kuanza maisha Moro usiende town, hakuna mzunguko wa pesa hakuna kazi za kuajiriwa nakushauri uende vijijini huko kama dumila, mgeta matombo, mvomero, kisaki na mkuyuni na ukifika huko fanya biashara ya kununua mazao usilime utafeli mjomba, ama fungua hata banda la kunesha mpira..kilimo kwa mtaji ulionao ni oesa ndogo, moro kutafta pesa kwa njia za halali ni mtihani mzee baba nimekaa hapo si chini ya miaka sita napafaham vizur na maraia wa hapo hawapendi watu watoboe, kama wewe ni mtu wa kaskazini tafta watu waliotokea pande hizo watakupa mwanga kwa maana wanaushirikiano sana na hawawezi kukupoteza lakini wenyeji si watu poa kwa kukushauri wengi wanapenda kuona unaanguka ama unakuwa kama wao.
Ni kweli kabisa,hasa ukikuta sehemu ina wazigua wengi ni mtihani sana
 
Mzee baba kama unataka kuanza maisha Moro usiende town, hakuna mzunguko wa pesa hakuna kazi za kuajiriwa nakushauri uende vijijini huko kama dumila, mgeta matombo, mvomero, kisaki na mkuyuni na ukifika huko fanya biashara ya kununua mazao usilime utafeli mjomba, ama fungua hata banda la kunesha mpira..kilimo kwa mtaji ulionao ni oesa ndogo, moro kutafta pesa kwa njia za halali ni mtihani mzee baba nimekaa hapo si chini ya miaka sita napafaham vizur na maraia wa hapo hawapendi watu watoboe, kama wewe ni mtu wa kaskazini tafta watu waliotokea pande hizo watakupa mwanga kwa maana wanaushirikiano sana na hawawezi kukupoteza lakini wenyeji si watu poa kwa kukushauri wengi wanapenda kuona unaanguka ama unakuwa kama wao.
Nimekuelewa sana mkuu na nashkuru kwa ushauri wako,,, nimepanga kwenda mgeta
 
Morogoro ni kubwa jipe muda wa kufanya research unataka kulima nini na morogoro sehemu gani inafaa kwa kilimo unachotaka binafsi nipo morogoro ila eneo nililopo kilimo sio kihivyo ila hapa ufugaji nikama wote.... Fanya utafiti morogoro kubwa mno kuna sehemu nauli ni zaidi ya 20k kutokea morogoro mjini...
 
Morogoro ni kubwa jipe muda wa kufanya research unataka kulima nini na morogoro sehemu gani inafaa kwa kilimo unachotaka binafsi nipo morogoro ila eneo nililopo kilimo sio kihivyo ila hapa ufugaji nikama wote.... Fanya utafiti morogoro kubwa mno kuna sehemu nauli ni zaidi ya 20k kutokea morogoro mjini...
Unapatika morogoro wilaya gan mkuu, location yako hasa yan kwanzia kitongoji mpaka wilaya
 
Hiyo kwa mkoa kama mbeya unapiga hela nenda mbeya .
Wakuu heshima zenu!

Bila kupoteza wakati niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada, mimi ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo Mwanga Kilimanjaro, mpango wangu hasa ni kuhamia Morogoro kwa nia ya kusaka life wazee, na kiukweli huku Mwanga hamna cha maana kabsa!

Account ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nimepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro ni fresh tuu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.

Morogoro sina ndugu ila nmeichagua kwa sababu zifuatazo
1.Ni mkoa wenye fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo
2.Living cost nimesikia kwamba iko chini
3.Usalama ni mzuri

NB: Naombeni ushauri wenu ndugu zangu na pia ikitokea nikapata mwenyeji wa huko nitashkuru sana na Mungu awabariki
 
Ni wilaya nzuri kwa kilimo cha mpunga na pia wenyeji wa wilaya hiyo ni wakarimu sana kwa wageni. Kila la heri. Nimeishi huko miaka mingi. Kuanzia Mkamba, Kidatu, Sanje, Mkula, Sonjo, Mang'ula, Kiberege, Ifakara, Mbingu, Mngeta, Chita, hadi Mlimba; Kote huko kunafaa kwa bishara, kilimo na fursa nyinginezo nyingi.

Pia unapoingia msimu wa mavuno kuanzia mwezi wa 6 hadi wa 12, huwa kunanoga sana huko mahali. Full sherehe, full kujiachia, nk.

We kweli kilombero uliitembea, kuanzia ifakara adi mlimba pako vizur kwa kilimo ndo maaneo yangu ya kutafuta tonge
 
Back
Top Bottom