Nasibu Thabith
Member
- Feb 5, 2017
- 37
- 76
Hata mi hua najiuliza sana swari hilo bila majibuIvi kwann majority ya watz hatupendi kusaidiana huku tukijua kabsa hamna mtu anajua kesho yake!!! Haya maisha yanamwisho wake na ipo siku utaacha vyote hapa duniani