Nasibu Thabith
Member
- Feb 5, 2017
- 37
- 76
Hata mi hua najiuliza sana swari hilo bila majibuIvi kwann majority ya watz hatupendi kusaidiana huku tukijua kabsa hamna mtu anajua kesho yake!!! Haya maisha yanamwisho wake na ipo siku utaacha vyote hapa duniani
Hakuna kitu kinaitwa Agrobusiness!Agrobusiness is business if you have huge money n outside business, for that money you going to cry.
Then...kunakitu kinaitwa nini??Hakuna kitu kinaitwa Agrobusiness!
Hakuna kitu kinaitwa Agrobusiness!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wabongo nomaThen...kunakitu kinaitwa nini??
[emoji23] [emoji23] Mkuu tumwombe MUNGU tu,,, ndio kilichobakiHata mi hua najiuliza sana swari hilo bila majibu
Naomba urejee andiko langu la awali,,, cjasema naenda kulima mpunga,, ila naenda kua middle men wakununua mpunga, kukoboa na kuuza mcheleYani badala ulime kitunguu huko ambacho kikitiki umeula unataka ukalime mpunga mbona unajichelewesha
Nashkuru kiongozKila la kheri mkuu.
[emoji23] [emoji23] Najivunia kua ndani ya hii nchi,,,, mambo magumu ila at least tunacheka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wabongo noma
Ni kweli kabisa,hasa ukikuta sehemu ina wazigua wengi ni mtihani sanaMzee baba kama unataka kuanza maisha Moro usiende town, hakuna mzunguko wa pesa hakuna kazi za kuajiriwa nakushauri uende vijijini huko kama dumila, mgeta matombo, mvomero, kisaki na mkuyuni na ukifika huko fanya biashara ya kununua mazao usilime utafeli mjomba, ama fungua hata banda la kunesha mpira..kilimo kwa mtaji ulionao ni oesa ndogo, moro kutafta pesa kwa njia za halali ni mtihani mzee baba nimekaa hapo si chini ya miaka sita napafaham vizur na maraia wa hapo hawapendi watu watoboe, kama wewe ni mtu wa kaskazini tafta watu waliotokea pande hizo watakupa mwanga kwa maana wanaushirikiano sana na hawawezi kukupoteza lakini wenyeji si watu poa kwa kukushauri wengi wanapenda kuona unaanguka ama unakuwa kama wao.
Nimekuelewa sana mkuu na nashkuru kwa ushauri wako,,, nimepanga kwenda mgetaMzee baba kama unataka kuanza maisha Moro usiende town, hakuna mzunguko wa pesa hakuna kazi za kuajiriwa nakushauri uende vijijini huko kama dumila, mgeta matombo, mvomero, kisaki na mkuyuni na ukifika huko fanya biashara ya kununua mazao usilime utafeli mjomba, ama fungua hata banda la kunesha mpira..kilimo kwa mtaji ulionao ni oesa ndogo, moro kutafta pesa kwa njia za halali ni mtihani mzee baba nimekaa hapo si chini ya miaka sita napafaham vizur na maraia wa hapo hawapendi watu watoboe, kama wewe ni mtu wa kaskazini tafta watu waliotokea pande hizo watakupa mwanga kwa maana wanaushirikiano sana na hawawezi kukupoteza lakini wenyeji si watu poa kwa kukushauri wengi wanapenda kuona unaanguka ama unakuwa kama wao.
Unapatika morogoro wilaya gan mkuu, location yako hasa yan kwanzia kitongoji mpaka wilayaMorogoro ni kubwa jipe muda wa kufanya research unataka kulima nini na morogoro sehemu gani inafaa kwa kilimo unachotaka binafsi nipo morogoro ila eneo nililopo kilimo sio kihivyo ila hapa ufugaji nikama wote.... Fanya utafiti morogoro kubwa mno kuna sehemu nauli ni zaidi ya 20k kutokea morogoro mjini...
Wakuu heshima zenu!
Bila kupoteza wakati niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada, mimi ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo Mwanga Kilimanjaro, mpango wangu hasa ni kuhamia Morogoro kwa nia ya kusaka life wazee, na kiukweli huku Mwanga hamna cha maana kabsa!
Account ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nimepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro ni fresh tuu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.
Morogoro sina ndugu ila nmeichagua kwa sababu zifuatazo
1.Ni mkoa wenye fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo
2.Living cost nimesikia kwamba iko chini
3.Usalama ni mzuri
NB: Naombeni ushauri wenu ndugu zangu na pia ikitokea nikapata mwenyeji wa huko nitashkuru sana na Mungu awabariki
Wesema unataka ukachomoe betri
Ni wilaya nzuri kwa kilimo cha mpunga na pia wenyeji wa wilaya hiyo ni wakarimu sana kwa wageni. Kila la heri. Nimeishi huko miaka mingi. Kuanzia Mkamba, Kidatu, Sanje, Mkula, Sonjo, Mang'ula, Kiberege, Ifakara, Mbingu, Mngeta, Chita, hadi Mlimba; Kote huko kunafaa kwa bishara, kilimo na fursa nyinginezo nyingi.
Pia unapoingia msimu wa mavuno kuanzia mwezi wa 6 hadi wa 12, huwa kunanoga sana huko mahali. Full sherehe, full kujiachia, nk.