Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

Mkuu ulikuwa unawinda nyati,sheshe,njapuli, au boko? Mlimba upo mitaa gani hapo mjini,kamwene au matangini?
 
Mkuu nauli inafika Hadi elfu 50 ndani ya Moro tu,.
 
We kweli kilombero uliitembea, kuanzia ifakara adi mlimba pako vizur kwa kilimo ndo maaneo yangu ya kutafuta tonge
Haaaaaa mkuu, unapita maeneo mazuri hivyo.....Ifakara,lumemo, namawala, luipa, idete, kisegese, mbingu,mofu,njage,mngeta,Ikule,Chita,chisano,mlimba,tanganyika masagatiii......
 
mkuu vipi soko la biashara ya mazao morogoro mjini ni la uhakika
 

Kwa kweli cost of living ipo chini Sana! Ila pia Hakuna hela; kuna mazao, Kama wayauza kwingine Kwa kweli utafanikiwa.

Tukuku tea kienyeji bei Rahisi Sana !
 
Duh kumbe watu wa moro town roho zao zimejikunja
 
Account ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nimepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro ni fresh tuu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.
Hivi ndo mnajazana huko ATM kumbe acc ina 2.5m 😂 hivi milion mbili Ni hela ya kuweka bank
 
kwa hiyo hela unaenda kulima au kubet?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…