Nina mpango wa kusilimu ili nioe mwanamke wa kiislam, naombeni ushauri kabla sijachukua maamuzi

Nina mpango wa kusilimu ili nioe mwanamke wa kiislam, naombeni ushauri kabla sijachukua maamuzi

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
ugonile,

huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.

binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.

kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.

karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka

wale wafia dini hapa sio pahala pake
 
ugonile,

huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.

binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.

kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.

karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka

wale wafia dini hapa sio pahali penu
Ukiachana na mapenzi kitu kingine kilichokuvutia ni nini
 
wahi,unachelewa nini? kupanga ni kuchagu,nakuona ukiwa na hamu ya kuoa wake wengi
wakati mwenzio alikuwa na mmoja, kamzalia mtoto mmoja wa nje kajitoa uhai.
 
ugonile,

huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.

binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.

kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.

karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka

wale wafia dini hapa sio pahala pake
Ukitaka kusilimu kwa ajili ya mwanamke tu hio sio sawa. Silimu kwa sababu ya kuaminj uislam ndio dini ya haki. Mke baadae
 
Wakiristo ndio wenye majini. Muulize Gwajima atakupa jibu
1738521578790.jpg
 
ugonile,

huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.

binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.

kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.

karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka

wale wafia dini hapa sio pahala pake
Usijiloge. BAki na msimamo wako. Kulegeza misimamo ndio mwanzo wa kutoelewa unafanya nn na unaenda wap
 
Back
Top Bottom