Nina mpango wa kuuza mali zangu baadhi nijikite kwenye Biashara

Nina mpango wa kuuza mali zangu baadhi nijikite kwenye Biashara

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Habari za majukumu Ladies and Gents.

Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)

Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.

Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.

Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.

Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.

Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.

Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
 
Humu huwezi pata ushauri zaidi ya kukutisha na kukukatisha tamaa.
Go for it brother.

Uwe na safari njema.

#YNWA
Hapa atapata ushauri mzuri sana. Wapo watakaombeza na kumkatisha tamaa, na kumkejeli, lakini wapo pia watakaompa ushauri mzuri sana!! Ataachana na yasiyomfaa lakini atachukua ushaurinuliuo mzuri!! Kwa hiyo afuatilie tu huu uzi wake bila shaka atapata mwongozo mzuri tu.
 
Usije kulaumu madon wa ukoo wakati huna pa kuanzia nakumbuka baba angu alinisaidia sna kuanzisha Biashara zaidi ya tano na zote nilipiga pua kwasababu hela haikuniuma akanichoka akaniambia ukija na laki ndakupa laki ukija na million ndakupa million kaumie kwanza

Mwanzo nilihisi mzee kanipa mtihani nisioweza kuufanya nikawa mzururaji sana wa mikoa tofauti ili mradi nimuoneshe napambana nilikuja kupata fedheha ya kutumiwa nauli nimestuck mkoani iringa sina hata nauli

Nilivofika nyumban niliamua kuwa serious nikaanza kupambana baada ya mwaka na miezi nikafanikiwa kupata mtaji wa laki 7 na mzee baada ya wiki akauza ng'ombe 1 akaniongezea nikaanza kupambana til now

Hitimisho mkuu kama una hamu ya upambanaji uza kiwanja mkuu acha kulaumu Ndugu,ndugu watakuongezea wakiona mafanikio
 
Habari za majukumu Ladies and Gents.

Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)

Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.

Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.

Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.

Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.

Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.

Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Hiyo ndo hassling ya men huenda hizo pesa utapata zitakufa zote au kupotea, ila utakuja kupata zingine na utafanikiwa......kutafuta mtaji sio mchezo kwasisi wanaumme kijana usikate tamaa mimi nilishawahi uza godoro la shule nipata mtaji wa kuuza pipi stendi......
 
Habari za majukumu Ladies and Gents.

Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)

Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.

Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.

Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.

Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.

Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.

Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Hujawahi kuuza karanga so hujui hiyo biashara. Usijifunze biashara kwa hela za kujimaliza tena kama hayo mazao hayatabiriki.
Kungekuwepo na uwezekano wa kufanya kama dalali ukajifunza mbinu zote bila hela yako ingekuwa vizuri zaidi. 1.5M sio hela kubwa kwenye mazao.
 
Habari za majukumu Ladies and Gents.

Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)

Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.

Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.

Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.

Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.

Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.

Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Kiwanja kipo maeneo gani?
 
Brother, what i can tell you.
Kile unachoamini ndio mafanikio yako.
Weka juhudi,nidhamu ya kila shilingi,acha starehe,achana na wanawake wa kuokota,Mwombe Mungu kila siku katika mambo yako yote mtangulize Mungu atakufanikisha.
Nikutakie mafanikio mema.
 
Habari za majukumu Ladies and Gents.

Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)

Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.

Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.

Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.

Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.

Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.

Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Usiuze kiwanja
Usiuze kiwanja
Usiuze kiwanja
Usiuze kiwanja
Usiuze kiwanja

Baadae kitakupa faida kubwa Sana mkuu labda kama kipo porini sanaaaa


Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom