begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
kwa kweli kuuza mali sija penda hata kidogo japo mtu anajisaidia kwa kile alichonacho nachokushauri achana na mali hizo, anza maisha upya tafuta vibarua vya nje ya taaluma yako mbona utapata mtaji tu hata ulinzi piga tu.ni jambo la kuogofya zaidi unauza mali zako zote afu unawekeza kwenye biashara baadaye biashara inakufa au kufirisika japo hatuombei litokee ,nachoshauri anza maisha upya,hizo mali achana nazo maana ukiziuza ukaweka kwenye biashara na biashara hizo baadaye zikafirisika itakuathiri sana kisaikolojia