begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Duuu aise kwahyo mtu ukishindwa kimoja means vyote huviwezi.Kama kutafuta kazi ameshindwa, ataweza kweli biashara inayotaka roho ngumu?
Mkuu usinichukulie Poa. Hapa napambana kweli kweli hata hicho kiwanja nilikinunua sababu ya biashara.Biashara sio option ya kufeli Mamb mengine uko... nakushauri endelea kutafuta ajira ww, biashara sio mahala kwako..
Kuliko kuuza si Bora ukatafute vibarua tuu? Kuna kazi za ujenzi Kwa wakandarasi unapata walau 400k Kwa mwezi kama kibarua na nssf unalipiwa.
Kikubwa connection tu.
Una umri wa miaka mingapi kwanza kabla ya kukupa ushauri?Habari za majukumu Ladies and Gents.
Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)
Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.
Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.
Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.
Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.
Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.
Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Nilivyosoma sio kusikiaEe ulivyosikia
Brother kiwanja usiuze, utatukumbuka yaan teseka unavyoteseka kiwanja usiuze zuia hivyo hivyo kubari kula msoto wa kukaa bench na kukosa ajira Ila ukiuza kiwanja umepoteza kila kitu hata hela ya kununua kingine hautopata jifunze kwa waliokutanguliaNaelewa mkuu umuhimu wa ardhi ila sina namna.
Nimejaribu kuongea na Madoni wa ukoo wanisapot ila nimetolewa Nje.
Sasa nashindwa nifanyeje, nahitaji kufanya Biashara na kuendelea na maisha mengine.
Hakunaga connection za kujuana na kwenye mtandaoNaomba hiyo connection ndugu
Aende site kwenye miradi hususani inayoanza atapata kazi ila kushinda jf bila kutafuta habari za serikali utaishia kusema hakuna kinachoendelea.Mpe Kinumbo connection mkuu
Unajiona wewe ngoja nakuendea nikirudi huongei hivyoo.Nilivyosoma sio kusikia