Nina mpango wa kuweka Electric shock mlangoni

Nina mpango wa kuweka Electric shock mlangoni

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana

Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini

wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu

sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya sitakua na msaada nae

Taarifa za kuibiwa zilishafika kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa lakini hakuna msaada wowote

NB: Muda wa kuwasha mfumo ni saa 4 usiku na kuzima saa 12 asubuhi.

Screenshot_20241112-114802.jpg
 
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana

Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini

wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu

sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya sitakua na msaada nae

Taarifa za kuibiwa zilishafika kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa lakini hakuna msaada wowote

NB: mda wa kuwasha mfumo ni saa 4 usiku na kuzima saa 12 asubuhiView attachment 3150152
Haha Haha Haha Haha Haha.
 
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana

Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini

wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu

sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya sitakua na msaada nae

Taarifa za kuibiwa zilishafika kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa lakini hakuna msaada wowote

NB: mda wa kuwasha mfumo ni saa 4 usiku na kuzima saa 12 asubuhiView attachment 3150152
Sasa Kosugi kilichokuchesha hapo ni nin? Wenzako palestina huko wanakufa na njaa na utapia mlo wewe upo hapa jamvin unakenuakenua meno tu.

100 others


Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom