Nina mpango wa kuweka Electric shock mlangoni

Nina mpango wa kuweka Electric shock mlangoni

Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana

Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini

wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu

sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya sitakua na msaada nae

Taarifa za kuibiwa zilishafika kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa lakini hakuna msaada wowote

NB: Muda wa kuwasha mfumo ni saa 4 usiku na kuzima saa 12 asubuhi.

View attachment 3150152
Tutakuja kwa staili nyingine itakayo kushangaza......safari hii tutabeba kila kitu!
 
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana

Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini

wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu

sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya sitakua na msaada nae

Taarifa za kuibiwa zilishafika kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa lakini hakuna msaada wowote

NB: Muda wa kuwasha mfumo ni saa 4 usiku na kuzima saa 12 asubuhi.

View attachment 3150152
Ikitudhuru tutakushitaki, sisi pia tunazo haki zetu.
 
Kama wewe utaweka ivyoo tutaanza kuja na taster ili kupima ili tufany kazi zetu kiuhadilifu ila kingine uwa tunafany mambo yetu pindi umeme unapokatik maan giza kwetu ni fulsa
 
Back
Top Bottom