katelero
JF-Expert Member
- May 31, 2010
- 529
- 84
na wewe mtoa hoja, kwa nini uingie na dem wako mkakaa pande tofauti?
mnatoa ujumbe gani kwa hadhira au bado mnaogopa kuonwa na wapenzi wa zamani?
eti mapenzi ya siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wewe mtoa hoja, kwa nini uingie na dem wako mkakaa pande tofauti?
mnatoa ujumbe gani kwa hadhira au bado mnaogopa kuonwa na wapenzi wa zamani?
Wajameni wewe una mpenzi wako unampenda ila siku za hivi karibuni uilienda naye kwenye harusi sehemu, lakini wakati wakuingia kila mmoja aliingia kwa nafasi yake kutokana yeye kukuta Dada yake na wewe ukatafuta mahali pakukaa wakati umekaa na majamaa ukasikia mmoja anaonyeshe wenzake huna muona huyo mwanamke mwenye **** anatoa tiGo Blaa!!ukageuka kutizama kama wana maanisha mpenzi wako na jamaa hakuwa na wasiwasi kwani hkuijui!jamaa mwingine akamwuliza wewe umemtafuna jamaa akasema nijuzi kwenye sand off nilikuwanaye mapema acha nim do!!
Kama wewe unafanyeje kwa wakati huo na wakati ujao??:lol:
Je ndo tester??😛layball:Nimeipenda kwa sababu mtu unapata taarifa kutoka kwa fourth person na unatakiwa kuzifanyia kazi. Utajuaje wanakurusha roho ili ummwage?
pia suala la KUSIA mbegu kwenye mbolea imekuwa ni taboo ya vibint vya leo. shangaa sana ukimkuta ambaye hafanyi hiyo kitu. Muulize Gaijin
na wewe mtoa hoja, kwa nini uingie na dem wako mkakaa pande tofauti?
mnatoa ujumbe gani kwa hadhira au bado mnaogopa kuonwa na wapenzi wa zamani?
Wajameni wewe una mpenzi wako unampenda ila siku za hivi karibuni uilienda naye kwenye harusi sehemu, lakini wakati wakuingia kila mmoja aliingia kwa nafasi yake kutokana yeye kukuta Dada yake na wewe ukatafuta mahali pakukaa wakati umekaa na majamaa ukasikia mmoja anaonyeshe wenzake huna muona huyo mwanamke mwenye **** anatoa tiGo Blaa!!ukageuka kutizama kama wana maanisha mpenzi wako na jamaa hakuwa na wasiwasi kwani hkuijui!jamaa mwingine akamwuliza wewe umemtafuna jamaa akasema nijuzi kwenye sand off nilikuwanaye mapema acha nim do!!
Kama wewe unafanyeje kwa wakati huo na wakati ujao??:lol:
wanaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.
Nitajiridhisha kwa kupretend kama nataka huko; tiGO...! Then, mara nigunduapo kuwa ni kweli basi nitakuwa na "peace of mind" to run away very immediate....! Otherwise, that might be a prove that they're enemies....!
Nyamayao you said it well, mambo mpeane gizani ya nini kuyaleta kibarazani? nadhani haya ni matatizo ya kutupilia mbali jando na unyago
Unajua inatokea mpo mapokezi mara unakutana nandugu na jamaa kabla yakuingia mnapiga story na yeye kakuta dadake wakaunga kwakuwa alishatangulia na anajua utamfaata na wewe kuona mademu kibao unawapotezea unakaa mahali ukitizama za harusini siunajua panakuwa hapatoshi unatafuta na new contact!:becky:
mshangao mtupu wanaonesha hawa malovaaeti mapenzi ya siri
Ohooo naona unanichonganisha. ngoja nikimbie asinikute hapaJe ndo tester??😛layball:
hapo kwenye red ndicho kilichokuponza. mie huwa nikiwa na mamsapu sina habari ya kutafuta new contacts. kama vipi hata mgeni rasmi hashikwi mkono.Unajua inatokea mpo mapokezi mara unakutana nandugu na jamaa kabla yakuingia mnapiga story na yeye kakuta dadake wakaunga kwakuwa alishatangulia na anajua utamfaata na wewe kuona mademu kibao unawapotezea unakaa mahali ukitizama za harusini siunajua panakuwa hapatoshi unatafuta na new contact!:becky:
Wajameni wewe una mpenzi wako unampenda ila siku za hivi karibuni uilienda naye kwenye harusi sehemu, lakini wakati wakuingia kila mmoja aliingia kwa nafasi yake kutokana yeye kukuta Dada yake na wewe ukatafuta mahali pakukaa wakati umekaa na majamaa ukasikia mmoja anaonyeshe wenzake huna muona huyo mwanamke mwenye **** anatoa tiGo Blaa!!ukageuka kutizama kama wana maanisha mpenzi wako na jamaa hakuwa na wasiwasi kwani hkuijui!jamaa mwingine akamwuliza wewe umemtafuna jamaa akasema nijuzi kwenye sand off nilikuwanaye mapema acha nim do!!
Kama wewe unafanyeje kwa wakati huo na wakati ujao??:lol:
Akubali umcheke unadhani yeye mjinga??utaomba hadi uzeeke bila kupewa lakini wajanja topeni kama kawa!
kaka ntapiga kimya kwanza kwa uchunguz zaid ila mambo ya malove dave ntasitisha kwa muda wote wa uchunguz maana kama ni kwel ntajua tuu maana hapa ntaanda mtego
Nashindwa niseme nini hapa.....
Ushasema mbona?
mbona kama story ya kutunga inaingiaje akilini mmekaa meza moja kwenye harusi mtu aanze kuongea vitu kama hivyo mbele za watu wakati ni siri na wala sio sifa mmmh ngumu kumesaWajameni wewe una mpenzi wako unampenda ila siku za hivi karibuni uilienda naye kwenye harusi sehemu, lakini wakati wakuingia kila mmoja aliingia kwa nafasi yake kutokana yeye kukuta Dada yake na wewe ukatafuta mahali pakukaa wakati umekaa na majamaa ukasikia mmoja anaonyeshe wenzake huna muona huyo mwanamke mwenye **** anatoa tiGo Blaa!!ukageuka kutizama kama wana maanisha mpenzi wako na jamaa hakuwa na wasiwasi kwani hkuijui!jamaa mwingine akamwuliza wewe umemtafuna jamaa akasema nijuzi kwenye sand off nilikuwanaye mapema acha nim do!!
Kama wewe unafanyeje kwa wakati huo na wakati ujao??:lol: