anza hivohivo utatoboaHabari wanabodi
Nina mtaji wa mil 5 naomben mawazo ya biashara ya kufanya.
Binafsi nawaza kufungua ofisi ya masuala nilosomea na ninayofanyia kazi, (professional office) then niweke na mpesa,tigopesa plus stationary sehemu moja.
Kwani ndoto yangu ni kujiajiri kwa professional yangu nikikaa sawa niquit serikalini na kuwa na big office in near future.
Naomba msaada wa mawazo wadau.
Real estateUngeanza kwa kuitaja hiyo taaluma yako ili ushauriwe kuanzia hapo
Thanks mkuu. Maelezo zaidi kuhusu hyo biashara ya nguo huko NairobiKwangu mimi biashara ya mazao ni bora zaidi hasa mchele na maharage, unatafuta soko kwanza unaenda huko kwa wakulima unanunua mazao yako unapeleka sokoni baada ya mwaka utakuwa mbali sana.
Kuna biashara ya kusambaza bidhaa madukani hasa maduka yaliyo pembeni ya mjini, hapa unaweza kutafuta kijana akawa anakusaidia kusambaza bidhaa zako madukani kwa kutumia pikipiki.
Azisha ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Kwa pesa hiyo unaweza anzisha mgahawa mzuri, ukatafuta wapishi wazuri na ukazingatia usafi huku chakula chako ukiuza kwa bei ndogo.
Kwa hela hiyo unaweza fanya biashara ya mitumba ya jumla, unafuata mzigo Kenya (wanachukua nguo zao Korea miili yetu na yao inaendana) ukawa unawauzia wale wanaouza kwa reja reja.
Kwa pesa hiyo unaweza kutafuta eneo lenye rutuba nzuri na mvua za kutosha ukaiwekeza kwenye kilimo hutajutia.
Kuna biashara ya mifugo mfano mbuzi na ng'ombe unanunua eneo moja unaenda kuuza eneo jingine mfano toka huko usukumani unaleta Dar au Dodoma
Are you there.
I am,hayo yote unayosema nishayasikia but nimeamua kufanya hivi ili baada ya like 3 to 4 years niache kaziThanks mkuu. Maelezo zaidi kuhusu hyo biashara ya nguo huko Nairobi
never lose this fire, good luck.I am,hayo yote unayosema nishayasikia but nimeamua kufanya hivi ili baada ya like 3 to 4 years niache kazi
Wananibana sana kazini
Seenjoi kazi yangu
Halafu bonge la performer
Nataka niondoke govt nijitawale
Ishu za plots na nini nina access
Bt i want to run
Boss wangu ana roho mbaya sana afu nimemzid uwezo ingawa ananizid umri so anatumia kila mbinu kunikwamisha,simdharau wala nn sema anajistukia
Ananibana sana,najitahid sana kupiga kazi ila anaona kama nashindana naye
Nilikuwa na ndoto za kustaafia govt but kwa huyu jamaa naona atanikwamisha mipango yangu mingi
Nataka nitoke then ujuzi wangu niutumie mtaani kujijenga,najua baada ya 5 years watanitafuta tu waniajiri but no
Nataka toa ajira kwa vijana wenzangu
Thanks man nimekuwa na hii ndoto since nasoma chuo, niliwaza nigrafuate niajiriwe govt then after some years niwe somebody in this country ili niibadil industry niliyomonever lose this fire, good luck.
Usitoke gvt kwa ajili ya huyo boss toka gvt kwa ajili ya kufuata na kutekeleza ndoto zako maana huyo boss leo yupo kesho unaweza kuwa wewe au mwingine, usimuogope boss bali fuata ndoto zako na uzitekeleze naamini utafanikiwa.I am,hayo yote unayosema nishayasikia but nimeamua kufanya hivi ili baada ya like 3 to 4 years niache kazi
Wananibana sana kazini
Seenjoi kazi yangu
Halafu bonge la performer
Nataka niondoke govt nijitawale
Ishu za plots na nini nina access
Bt i want to run
Boss wangu ana roho mbaya sana afu nimemzid uwezo ingawa ananizid umri so anatumia kila mbinu kunikwamisha,simdharau wala nn sema anajistukia
Ananibana sana,najitahid sana kupiga kazi ila anaona kama nashindana naye
Nilikuwa na ndoto za kustaafia govt but kwa huyu jamaa naona atanikwamisha mipango yangu mingi
Nataka nitoke then ujuzi wangu niutumie mtaani kujijenga,najua baada ya 5 years watanitafuta tu waniajiri but no
Nataka toa ajira kwa vijana wenzangu
Kwangu mimi biashara ya mazao ni bora zaidi hasa mchele na maharage, unatafuta soko kwanza unaenda huko kwa wakulima unanunua mazao yako unapeleka sokoni baada ya mwaka utakuwa mbali sana.
Kuna biashara ya kusambaza bidhaa madukani hasa maduka yaliyo pembeni ya mjini, hapa unaweza kutafuta kijana akawa anakusaidia kusambaza bidhaa zako madukani kwa kutumia pikipiki.
Azisha ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Kwa pesa hiyo unaweza anzisha mgahawa mzuri, ukatafuta wapishi wazuri na ukazingatia usafi huku chakula chako ukiuza kwa bei ndogo.
Kwa hela hiyo unaweza fanya biashara ya mitumba ya jumla, unafuata mzigo Kenya (wanachukua nguo zao Korea miili yetu na yao inaendana) ukawa unawauzia wale wanaouza kwa reja reja.
Kwa pesa hiyo unaweza kutafuta eneo lenye rutuba nzuri na mvua za kutosha ukaiwekeza kwenye kilimo hutajutia.
Kuna biashara ya mifugo mfano mbuzi na ng'ombe unanunua eneo moja unaenda kuuza eneo jingine mfano toka huko usukumani unaleta Dar au Dodoma
Are you there.
Sorry mkuu naomba unipe mwangaza kwenye hyo biashara ya kusambaza bidhaa kwa pikpik kwenye maduka yaliyo pembezoni ntaman kuifanya sijajua wapi pakuanziaKwangu mimi biashara ya mazao ni bora zaidi hasa mchele na maharage, unatafuta soko kwanza unaenda huko kwa wakulima unanunua mazao yako unapeleka sokoni baada ya mwaka utakuwa mbali sana.
Kuna biashara ya kusambaza bidhaa madukani hasa maduka yaliyo pembeni ya mjini, hapa unaweza kutafuta kijana akawa anakusaidia kusambaza bidhaa zako madukani kwa kutumia pikipiki.
Azisha ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Kwa pesa hiyo unaweza anzisha mgahawa mzuri, ukatafuta wapishi wazuri na ukazingatia usafi huku chakula chako ukiuza kwa bei ndogo.
Kwa hela hiyo unaweza fanya biashara ya mitumba ya jumla, unafuata mzigo Kenya (wanachukua nguo zao Korea miili yetu na yao inaendana) ukawa unawauzia wale wanaouza kwa reja reja.
Kwa pesa hiyo unaweza kutafuta eneo lenye rutuba nzuri na mvua za kutosha ukaiwekeza kwenye kilimo hutajutia.
Kuna biashara ya mifugo mfano mbuzi na ng'ombe unanunua eneo moja unaenda kuuza eneo jingine mfano toka huko usukumani unaleta Dar au Dodoma
Are you there.
hello naomba nku DM kwa more information please....Ninao uzoefu wa biashara ya mbao...
1. Unanunua iringa vijijini kwa bei ndogo then unasafirisha kwenda mikoa mingine kwenye uhitaji wa mbao (sio nyanda za juu kusini). Unauza jumla km mtaji unaruhusu (around 12 to 14M) faida ni kubwa sana, min ni 3M.
2. Unaweza kufungua kijiwe pembezoni mwa mji (kunakoendelea kujengwa) then unanunua mzigo wa jumla (mbao) say mzigo wa 3M then unauza rejareja. 2M inayobaki tafuta mashine ya kupiga tofali, mchanga, cement, tank la maji, nk. Ukaweka vijana wanapiga tofali na kuuza+mbao pembeni hakika itakulipa tu.
3. Msimu wa kuvuna huu huko moro mchele haujapanda sana bei, tafuta soko huko manzese nk then unafanya simple survey ya bei ya mkoani ili uwe na uhakika. Ukishajiridhisha unaenda kuchukua mchele na kuuleta town. Binam yangu anafanya hz mishe kila mwez lzm alete gari 1 au 2 dsm... inamlipa kwa kweli.
4. Fungua duka la madawa hasa pemben ya mji hakika utauza vzr. Pawe mbali kidogo na dispensary. Utahitaji documents chache sana hata za kukodi tu kwa watu ambao tayari wako na hizo biashara.
5.. zipo nyingi tu mkuu japo kuna wadau wazoefu zaidi wanakuja isee
forexHabari wanabodi
Nina mtaji wa mil 5 naomben mawazo ya biashara ya kufanya.
Binafsi nawaza kufungua ofisi ya masuala nilosomea na ninayofanyia kazi, (professional office) then niweke na mpesa,tigopesa plus stationary sehemu moja.
Kwani ndoto yangu ni kujiajiri kwa professional yangu nikikaa sawa niquit serikalini na kuwa na big office in near future.
Naomba msaada wa mawazo wadau.
pambana na huyo bosi wako wewe mpaka kielewekeThanks man nimekuwa na hii ndoto since nasoma chuo, niliwaza nigrafuate niajiriwe govt then after some years niwe somebody in this country ili niibadil industry niliyomo
But naona kadri siku zinavyoenda naumia,am not happy at all,nina kazi,usafiri,makazi but I always feel the gap inside
Nimekuwa nalia mara kibao mwenyewe and ask my God kwann ukaniweka hapa ?kwa watu hawa?nilikosea wapi?
Mwishoni nilimkumbuka mwalimu wangu wa entrepreneurship ingawa haikuwa core subject aliwahi sema usichukulie problems kama obstacle hali oportunities
Nimeamua na nitafanya,inshallah nitarudi toa mrejesho humu,may be niliwekwa kwenye situation hii ili niact na niwanyanyue na wengine
Nisiongee sana but nimeamua and am going to do it
May be its about time.
Kabla hujaanza tafuta kitabu cha "stars shine down" chq sydney sheldon, utajifunza mengi...Real estate
Sasa unaacha kazi kwa ajili ya boss daah. Think twice Mkuu. Acha kwakua una ndoto zako ila sio kwa ajili ya boss mzushi. Serikali haina boss permanent huyo anytime anahamishwa or anaondoka so komaa mkuu.I am,hayo yote unayosema nishayasikia but nimeamua kufanya hivi ili baada ya like 3 to 4 years niache kazi
Wananibana sana kazini
Seenjoi kazi yangu
Halafu bonge la performer
Nataka niondoke govt nijitawale
Ishu za plots na nini nina access
Bt i want to run
Boss wangu ana roho mbaya sana afu nimemzid uwezo ingawa ananizid umri so anatumia kila mbinu kunikwamisha,simdharau wala nn sema anajistukia
Ananibana sana,najitahid sana kupiga kazi ila anaona kama nashindana naye
Nilikuwa na ndoto za kustaafia govt but kwa huyu jamaa naona atanikwamisha mipango yangu mingi
Nataka nitoke then ujuzi wangu niutumie mtaani kujijenga,najua baada ya 5 years watanitafuta tu waniajiri but no
Nataka toa ajira kwa vijana wenzangu