Habari wanabodi
Nina mtaji wa mil 5 naomben mawazo ya biashara ya kufanya.
Binafsi nawaza kufungua ofisi ya masuala nilosomea na ninayofanyia kazi, (professional office) then niweke na mpesa,tigopesa plus stationary sehemu moja.
Kwani ndoto yangu ni kujiajiri kwa professional yangu nikikaa sawa niquit serikalini na kuwa na big office in near future.
Naomba msaada wa mawazo wadau.
Nina mtaji wa mil 5 naomben mawazo ya biashara ya kufanya.
Binafsi nawaza kufungua ofisi ya masuala nilosomea na ninayofanyia kazi, (professional office) then niweke na mpesa,tigopesa plus stationary sehemu moja.
Kwani ndoto yangu ni kujiajiri kwa professional yangu nikikaa sawa niquit serikalini na kuwa na big office in near future.
Naomba msaada wa mawazo wadau.