Nina mtaji wa Milioni 4 natafuta banda/frame ya uwakala

Nina mtaji wa Milioni 4 natafuta banda/frame ya uwakala

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
587
Reaction score
276
Kama kichwa cha mada mie mdau nimebangaiza kitaa nina 4m hapa nataka nifanye biashara ya uwakala wa pesa kwa simu na mabank, natafuta frame ya kufanyia biashara hiyo iliyopo maeneo yalochangamka iwe Kinondoni, Mwananyamala, Kigogo nk. Nikiipata nianze kufuatilia lines za miamala na leseni ya biashara chapchap nianze kukomaa.

Mwenye frame plz ani-dm
 
Mbona unamkatisha tamaa Mwenzio Mkuu??
Hakuna mahali nilipomkatisha Tamaa, huo Ni mtazamo wako.

Point yangu kuu! Afanye Biashara iliomuwezesha kupata hiyo 4m

Kwann
4m
Upate frame?
Upate reseni ya huduma za kifedha BOT
Uje kwnye mitandao ya simu.

Tusidanganyane commission ndogo Sana kwenye mtaji wa 4m benk na mitandao ingine ya kifedha
 
Hakuna mahali nilipomkatisha Tamaa, huo Ni mtazamo wako.

Point yangu kuu! Afanye Biashara iliomuwezesha kupata hiyo 4m

Kwann
4m
Upate frame?
Upate reseni ya huduma za kifedha BOT
Uje kwnye mitandao ya simu.

Tusidanganyane commission ndogo Sana kwenye mtaji wa 4m benk na mitandao ingine ya kifedha
Acha kumtisha mwenzako, katika hiyo milioni 4 akitoa milioni moja, atalipia frame kwa miezi 6 bora atafute frame isiyozidi Tsh 120000 kwa mwezi, na pia atapata Leseni kumbuka Leseni ya Retail shop ni, 100000 TRA na 72000 Halmashauri kumbuka ukiwa na leseni ya Biashara, Laini za uwakala ni bure, unalipia kiasi kisichozidi Tsh 25000 tu kwa laini
Kwenye hiyo milioni 3 iliyobaki achukue million 1 atafute friji na mtaji wa Biashara vinywaji Baridi, milioni 2 inatosha kuanzia Biashara ya Retail bora tu awe na nidhamu ya fedha
 
Hii biashara ya uwakala uanze huko vijijini ndio utapiga pesa kwa kutumia lipa namba utakuja kunishukuru baadae boss

Mjini kod ming na mlolongo wa wiz na kodi
 
Hii biashara ya uwakala uanze huko vijijini ndio utapiga pesa kwa kutumia lipa namba utakuja kunishukuru baadae boss

Mjini kod ming na mlolongo wa wiz na kodi
Noted.
 
Acha kumtisha mwenzako, katika hiyo milioni 4 akitoa milioni moja, atalipia frame kwa miezi 6 bora atafute frame isiyozidi Tsh 120000 kwa mwezi, na pia atapata Leseni kumbuka Leseni ya Retail shop ni, 100000 TRA na 72000 Halmashauri kumbuka ukiwa na leseni ya Biashara, Laini za uwakala ni bure, unalipia kiasi kisichozidi Tsh 25000 tu kwa laini
Kwenye hiyo milioni 3 iliyobaki achukue million 1 atafute friji na mtaji wa Biashara vinywaji Baridi, milioni 2 inatosha kuanzia Biashara ya Retail bora tu awe na nidhamu ya fedha
Friji tena kwenye biashara ya fedha? [emoji848] Kazi ipo kwakweli.
 
Humu ndan mnapenda kutishana tamaa balaa. Mm nmeanza uwakala na mtaji wa sh laki 8. Hapo nmeshapata line na nshalipa frem elfu 70. Sikuwa na uwakala wa benki. Ila sasa hv nafanya karibia benki 8. Sjawah kuongeza mtaji kwa kukopa. Mtaji ulioongezeka umetoka na commission nilizozipata. Ukifuata mawazo ya watu wengne humu huwez kutoboa.
 
Banda zuri linauzwa:
[emoji93] Linafaa kwa biashara mbalimbali Kama nguo za kiume au za kike, viatu vya kiume au vya kike, nguo za ndani, M-PESA, nk
[emoji93] Lipo Ubungo mabibo hostel kwa ndani kidogo.
[emoji93] Banda ni futi sita kwa sita (6x6)
[emoji93] Linabebeka kiurahisi kwa Kirikuu.
[emoji93] Unapewa na mlango wa aluminium na vioo vyake.
[emoji93] Bei ni 950,000 (maongezi yapo)
[emoji93]Kwa mawasiliano zaidi :0628443946(simu ya kawaida) au 0762370433 (WhatsApp).
KARIBUNI SANA View attachment 2147396View attachment 2147397View attachment 2147398
IMG20210828095046.jpg
View attachment 2147399
 
Hakuna mahali nilipomkatisha Tamaa, huo Ni mtazamo wako.

Point yangu kuu! Afanye Biashara iliomuwezesha kupata hiyo 4m

Kwann
4m
Upate frame?
Upate reseni ya huduma za kifedha BOT
Uje kwnye mitandao ya simu.

Tusidanganyane commission ndogo Sana kwenye mtaji wa 4m benk na mitandao ingine ya kifedha
Leo ukisoma tena meseji yako unajionaje? hahahahah
 
Back
Top Bottom