Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto ni hii best hao unaowapa unawaaminiNimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu changamoto au ushauri tafadhali sema.
Mkuu hebu elezea kidogo kuhusu hii investmentDah bora u-invest 'Foreign Exchange' ndugu yangu itakugharimu miezi michache tu, but you can make a lot of money later...
[emoji3][emoji3][emoji3]Utaugua kichaa.
Sikujua hili mm hua naona wamepaki wanapigwa upepo na toyo zao.Zote zina hela hila toyo ni [emoji91]
Hesabu kidogo hivi hizo za abilia utoka kwa foreni tena mpaka ijae kwa nauli ya jero kila abilia amabapo ikijaa jumla aifiki ata elfu nne net
Sasa toyo zinatoka muda wowote na mara nyingi ubeba mzigo mkubwa na kupeleka sehemu za mbali kidogo yaani pesa ya toyo kwa siku ni kubwa mara nne au sita ya pesa ya bajaji ya abilia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Toyo zipo mpya hadi milioni tatuSikujua hili mm hua naona wamepaki wanapigwa upepo na toyo zao.
Ok ,toyo wanhoo mpya inaenda sh?
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Karma at workBodaboda wapuuzi sana yalinikuta mimi.
Mungu ana nguvu sana, sisemi kwa ubaya ila Mungu fundi sana
Dogo alinidhurumu pesa zangu karibia 1M, nikachukua chombo changu tukaandikishana kwamba atanilipa ila akagoma, baada ya wiki akapata chombo kingine akaingia road Fuso ikapita nae pale pale bwana akatwaa.
Msidhurumu watu, ukidhurumu mtu anakuwa anaugulia kimya kimya Mungu anaweza kuyaona maumivu yake
Nimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu changamoto au ushauri tafadhali sema.
Dm Mkuu tuongee kuhusu hiliTupe details kuhusu hii biashahara
A, mtaji kiasi gani wa kuanzia?
B,biashara ipo mfumo gani ni udalali au unafungua frame kabisa kwa ajili ya wanunuzi?
C, changamoto ya upatikanaji mafuta, changamoto ya usafirishaji na kwa wanunuzi
D,faida inapatikanaje, mf lita moja itakupa faida ya kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya boda inalipa sana sio Siri lakini inabidi upate dereva anayejielewa na anapassion ya iyo KAZI Kuna aina mbili za biashara ya boda Kuna mkataba na Kuna ya kipande.Nimejichanga nimefanikiwa k Kkupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu changamoto au ushauri tafadhali semaboda
Nimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu ctafadhWoto au ushauri tafadhali sema.
Nimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu changamoto au ushauri tafadhali sema.
BIASHARA YA USAFIRISHAJI VYOMBO VYA MOTO INAHITAJI UWE SERIOUS I MEAN SIO KUCHEKA CHEKA. NA INAHITAJI RISKY YA HALI YA JUU.Ata ukimpa kijanaa
Shida ule upepo siyo mzuri, ukimkuta bodaboda mwenye akili timamu shukuruChangamoto ni kwenye kumpata kijana mwaminifu., bodaboda ni wasumbufu sana alafu ni kama wanafundishana wote akili zao zinafanana
Wengi wahuni [emoji16]Shida ule upepo siyo mzuri, ukimkuta bodaboda mwenye akili timamu shukuru
ExcellentBiashara ya boda boda ni nzuri kama utaendesha mwenyewe,japo siku hizi imekua biashara ngumu kiasi maana abiria hawapandi mtu wasie mjua.
binafsi hata mimi sipandi tu boda boda ilimradi nimepanda,hivyo ili uanze ona matunda ya hii biashara itakubidi uchaji solar sana kijiweni wakati wenzio unawaona wanatoka na kuingia.
ukizoeleka biashara utapga sana ila hapo mpaka uzoeleke sasa (maji umeyaita mma)
Kwa mtaji huo nakushauri kitu ambacho vijana wengi wanakichukulia poa mno mwisho wake wanawaza mabiashara yasio na future ya kueleweka.
Binafsi siwezi fanya biashara ya boda,ila mkuu nakushauri kwa mtaji huo Hebu kaa chini tafuta location nzuri chukua frem kisha fungua DUKA LA MANGI.
duka la vitu vya majumbani tunapenda kusema dukani kwa mangi,Mkuu nakuhakikishia hili duka ukiweza litunisha mtaji kama ulionao ukajaza mazaga zaga yote na mkawa wawili (wewe na waifu) waifu mchana yote anatoka saa 8:00 usiku,wewe unaingia muda huo hadi majogoooo, BABA BABA BABA mchawi lazima uitwe braza.
Duka la mangi ni biashara bomba sana yenye Future inayoeleweka,unapokua na mtaji mkubwa biashara ya Mangi inakupa more income ila boda boda hata ujambe uharishe hutokaa hata siku 1 ulaze faida LAKI ng'ooo utachora chini.
DUKA LA MANGI uwezo wa kulaza faida zaidi ya 100k per day kila siku biashara ikija changanyia mwendo wa 360km/hr boss kama nakuona hivi utavyokuja nishukuru badae.
Achana na ma idea ya vijana sijui boda boda,sijui toyo,sijui bolt,nk (sidharau hizi idea zao) lakini future yahizo biashara zao ni inaonekana kabisa, binafsi mimi sasa hivi huwezi niambia nifungue biashara ambayo nikiiangalia baada ya 5yrs haitoweza nipa 500k per day, sifungui mimi biashara.
Biashara zenye COSTANT INCOME sizitaki na wala siziwezi,napenda duka la mangi maana the more the capital the more the income the more the customer,nk
DUKA la Mangi ni biashara ambayo kijana yeyote anaetafuta maisha na amedhamiria kupambana na ana mtaji basi simshauri mara mbili namwambia tu mara 1 Asijifikirie aifanye bila kusita sita.
Duka la mangi linauza vingi brooo,kuna mchele,unga,sabuni,wine zote,vinywaji vyote yani unakusanya unakusanya hadi ukija jumlisha faida unasema Asante BABA wewe ni mkuu.
Mama yangu alikua akimiliki duka la mangi ezi hizo,ilikua ukiingia dukani chini sakafuni kuna coin kama zote zimedondoka,huwa haziokotwi dukani kuna coin nikawa najiuliza kwann mama anaacha pesa chini? nikienda dukani kwake najifanya viatu vinanibana nikiwa pale nnje nakunywa soda navua viatu then natafuta namna yyte ile niingie dukani,napita kukanyaga maeneo yenye coin nazifinya na kidole cha mguu naziinua natia mfukoni...
Mpaka nitoke dukani mfukoni nishamake hadi buku, (buku enzi zetu wazee sio masihara)
Leo nimekua ndio naelewa kwanini duka la mangi lina pesa,kwann mama alikua haokoti coin zikidondoka,mkuu duka ya mangi ina pesa kuliko watu wafikiriavyo.
Nafanya biashara nyingi ila mwaka Huu biashara yangu kubwa ninayoenda ifungua ni DUKA LA MANGI brother penye asali washirikshe na wengine,ifanye hii biashara ina faida nyingi sana sana sana.
SubiraNimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6, nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana.
Kama unafahamu changamoto au ushauri tafadhali sema.
PPi
Biashara ya boda inalipa sana sio Siri lakini inabidi upate dereva anayejielewa na anapassion ya iyo KAZI Kuna aina mbili za biashara ya boda Kuna mkataba na Kuna ya kipande.
MKATABA.
IPO Ivi Kwa siku elfu 12 Kwa dar es salaam. Baada ya miezi 12 kijana anachukua pikipiki mnaachana ambapo unakua umepata million 4 laki 3 na ishirini hapo boda boxer mpya million mbili na laki 6 kwaio faida ya million Moja na laki Saba na ishirini.
hii faida yake ni nzuri sana. Na watu wengi hufanya hii.
KIPANDE.
Kwa siku ni elf kumi lakini pikipiki inakua ya kwako mda wote. Na service unafanya wewe Kama za engine oil n.k hii hesabu zake ni million 3 na laki 6. Kwa mwaka. Hapo ukinununua used million 1 na laki 3 au 4 boxer mpya. Kwaio unaweza Kuta ndani ya miaka miwili unakua na boda 2 au 3 Kama ukiwa serious.
CHANGAMOTO.
Ajali nje nje
marejesho kutofika Kwa wakati kutokana na uaminifu.
matumizi mabaya ya chombo dereva uyo.
ila hakuna biashara ambayo Haina changamoto kikubwa ni kupambana.
NO RISK NO GAIN.
BIASHARA YA USAFIRISHAJI VYOMBO VYA MOTO INAHITAJI UWE SERIOUS I MEAN SIO KUCHEKA CHEKA. NA INAHITAJI RISKY YA HALI YA JUU.
BODA BODA Inalipa sana ukipata vijana waadilifu na wachapakazi na wenye nidhamu.
Kinachotakiwa kutoka kwako ni consistency bila kukata tamaa na uchapa KAZI. kanuni namba Moja usifanye BIASHARA bila kumuamini mtu. M nakutakia Kila la kheri Mungu akutangulie katika safari Yako ya mafanikio