Nina mtaji wa sh 2mil, ushauri wapendwa ktk bwana

Nina mtaji wa sh 2mil, ushauri wapendwa ktk bwana

Makaura

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
892
Reaction score
295
Ndugu zangu mimi ni mkazi wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2.

Nimewaza nianze kufanyia nini nimeshndwa. Wazo pekee linalo nijia ni kununua BODABODA ila watu wengi wananishauri nisinunue mana haina faida na usimamizi ni mgumu. Embu wadau nipeni ushauri ktk hili na mawazo mengne tofauti na ya bodaboda. Asanteni waungwana
 
mkuu .... kwanza hongera kwa kufanya personal savings na kuweza kuwa na mtaji

ushauri wangu

Mwanza ina maziwa mengi sana .... fungua/anzisha drinking milk stop outlet ... hapa utauza maziwa fresh moto na baridi pamoja na maziwa mtindi ..

tafuta location nzuri city centre, inahitaji kibanda kidogo sana kama cha 3x2.5meters ..... mahitaji ni jelly can kubwa 3 @25ltrs za kuhifadhia maziwa, freezer moja, glass za kioo 300mls 4dozens/48pcs, jiko la gesi na containers ndogo ndogo za kupimia maziwa, vitambaa vya usafi n.k .... vyote hivi haviwezi zidi TZS 1,300,000

hakikisha usafi ndiyo motto/marketing/competitor advantage yako ....

tafuta wafugaji watakao kusupply maziwa constantly and reliable

mahesabu :

manunuzi lita moja Tsh 800 .... x 60ltrs = 48,000

mauzo

glass moja 250mls = 500 .... one litre (1000mls) = 4 glasses

Tsh 500 x 4 =Tsh 2,000/= net income per litre

less:

Tsh 800 raw milk + 400 other costs

Projected profit ... Tsh 2,000 - 1,200 = Tsh 800 per litre

consumed milk at 60ltrs per day

Tsh 800 x 60ltrs = Tsh 48,000 per day

Tsh 48,000x 7days a week = 336,000

profit per month ....336,000x 4 weeks = Tshs 1,344,000

i wish you all the best
 
Ndugu zangu mimi ni mkazi
wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa
sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2, nimewaza nianze
kufanyia nini nimeshndwa. Wazo pekee linalo nijia ni kununua BODABODA
ila watu wengi wananishauri nisinunue mana haina faida na usimamizi ni
mgumu. Embu wadau nipeni ushauri ktk hili na mawazo mengne tofauti na ya
bodaboda. Asanteni waungwana

weka ktk fixed account
 
Nashukuru sana kwa mchanganuo wako wenye maelezo yaliyojitosheleza.bila shaka umesoma cost accounting. Natamani sana nikuone siku moja unipe mawazo zaidi. Thank you very much moja
mkuu .... kwanza hongera kwa kufanya personal savings na kuweza kuwa na mtaji

ushauri wangu

Mwanza ina maziwa mengi sana .... fungua/anzisha drinking milk stop outlet ... hapa utauza maziwa fresh moto na baridi pamoja na maziwa mtindi ..

tafuta location nzuri city centre, inahitaji kibanda kidogo sana kama cha 3x2.5meters ..... mahitaji ni jelly can kubwa 3 @25ltrs za kuhifadhia maziwa, freezer moja, glass za kioo 300mls 4dozens/48pcs, jiko la gesi na containers ndogo ndogo za kupimia maziwa, vitambaa vya usafi n.k .... vyote hivi haviwezi zidi TZS 1,300,000

hakikisha usafi ndiyo motto/marketing/competitor advantage yako ....

tafuta wafugaji watakao kusupply maziwa constantly and reliable

mahesabu :

manunuzi lita moja Tsh 800 .... x 60ltrs = 48,000

mauzo

glass moja 250mls = 500 .... one litre (1000mls) = 4 glasses

Tsh 500 x 4 =Tsh 2,000/= net income per litre

less:

Tsh 800 raw milk + 400 other costs

Projected profit ... Tsh 2,000 - 1,200 = Tsh 800 per litre

consumed milk at 60ltrs per day

Tsh 800 x 60ltrs = Tsh 48,000 per day

Tsh 48,000x 7days a week = 336,000

profit per month ....336,000x 4 weeks = Tshs 1,344,000

i wish you all the best
 
Una degree ya masomo ya biashara lakini unashindwa kupata wazo la biashara. Tatizo ni mfumo wa elimu yetu ya bongo au wewe mwenyewe? Je sisi akina kajamba nani ambao hatujasoma kabisa au tumesomea fani zingine itakuwaje kama nyie wasomi kwenye biashara mnashindwa kupata wazo la biashara? Sisi tunategemea nyie muwe washauri wetu kumbe na nyie hali mbaya. Pole sana mkuu

Anyway ushauri wangu kama vipi jaribu biashara ya mgahawa (kuuza vyakula vilivyopikwa). ukipata location nzuri inalipa sana. Kama ukijipanga vizuri unaweza kujikuta badae una miliki hotel..

Jaribu hata biashara za M-PESA, AIRTEL MONEY AU TIGO PESA ZINALIPA.
 
Miaka mitatu unasoma Biashara na bado ni ngumu kufikiria nini cha kufanya kwenye Biashara? Mmmh thats a bit strange!!
 
Kamata boda boda mwenyew jikatae kwanza afu uone
 
mkuu .... kwanza hongera kwa kufanya personal savings na kuweza kuwa na mtaji

ushauri wangu

Mwanza ina maziwa mengi sana .... fungua/anzisha drinking milk stop outlet ... hapa utauza maziwa fresh moto na baridi pamoja na maziwa mtindi ..

tafuta location nzuri city centre, inahitaji kibanda kidogo sana kama cha 3x2.5meters ..... mahitaji ni jelly can kubwa 3 @25ltrs za kuhifadhia maziwa, freezer moja, glass za kioo 300mls 4dozens/48pcs, jiko la gesi na containers ndogo ndogo za kupimia maziwa, vitambaa vya usafi n.k .... vyote hivi haviwezi zidi TZS 1,300,000

hakikisha usafi ndiyo motto/marketing/competitor advantage yako ....

tafuta wafugaji watakao kusupply maziwa constantly and reliable

mahesabu :

manunuzi lita moja Tsh 800 .... x 60ltrs = 48,000

mauzo

glass moja 250mls = 500 .... one litre (1000mls) = 4 glasses

Tsh 500 x 4 =Tsh 2,000/= net income per litre

less:

Tsh 800 raw milk + 400 other costs

Projected profit ... Tsh 2,000 - 1,200 = Tsh 800 per litre

consumed milk at 60ltrs per day

Tsh 800 x 60ltrs = Tsh 48,000 per day

Tsh 48,000x 7days a week = 336,000

profit per month ....336,000x 4 weeks = Tshs 1,344,000

i wish you all the best
Mchanganuo wako mzuri sana... nimeupenda...
 
Una degree ya masomo ya biashara lakini unashindwa kupata wazo la biashara. Tatizo ni mfumo wa elimu yetu ya bongo au wewe mwenyewe? Je sisi akina kajamba nani ambao hatujasoma kabisa au tumesomea fani zingine itakuwaje kama nyie wasomi kwenye biashara mnashindwa kupata wazo la biashara? Sisi tunategemea nyie muwe washauri wetu kumbe na nyie hali mbaya. Pole sana mkuu

Anyway ushauri wangu kama vipi jaribu biashara ya mgahawa (kuuza vyakula vilivyopikwa). ukipata location nzuri inalipa sana. Kama ukijipanga vizuri unaweza kujikuta badae una miliki hotel..

Jaribu hata biashara za M-PESA, AIRTEL MONEY AU TIGO PESA ZINALIPA.
Sidhani kama kuwa na shahada ya BIASHARA inamfanya mtu ashindwe kuomba ushauri na IDEAS kwa wengine...Hapa kinachotafutwa ni IDEAS na kwa mtu aliyeenda shule kama huyu ukimpa IDEA ndogo tuu akaifanyia kazi utashangaa...

Mafanikio yote ya kimaisha na sayansi unayoyafahamu yaliania kwenye IDEAS na ndio kinachotafutwa hapa...
 
  • Thanks
Reactions: hbi
Ndugu zangu mimi ni mkazi wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2.

Nimewaza nianze kufanyia nini nimeshndwa. Wazo pekee linalo nijia ni kununua BODABODA ila watu wengi wananishauri nisinunue mana haina faida na usimamizi ni mgumu. Embu wadau nipeni ushauri ktk hili na mawazo mengne tofauti na ya bodaboda. Asanteni waungwana

kama una shida ya business idea usifate tu watu wanachosema kuwa business flani inalipa na ww ukaingia kichwakichwa,kuna thread humu imeandikwa na chasha,inaweza mwangaza unapotafuta aina ya biashara ya kufanya,ngoja niitafute nikupe link yake,ni thread nzuri sana,naamini itakusaidia ndugu.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Ndugu zangu mimi ni mkazi wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2.

Nimewaza nianze kufanyia nini nimeshndwa. Wazo pekee linalo nijia ni kununua BODABODA ila watu wengi wananishauri nisinunue mana haina faida na usimamizi ni mgumu. Embu wadau nipeni ushauri ktk hili na mawazo mengne tofauti na ya bodaboda. Asanteni waungwana

Haya kamata link hiyo,natumai itakusaidia.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=5602916

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Miaka mitatu unasoma Biashara na bado ni ngumu kufikiria nini cha kufanya kwenye Biashara? Mmmh thats a bit strange!!

What is strange about this!? Hii ndio elimu yetu ya Bongo, inawatayarisheni kwa ajili ya kuajiriwa na hawa Wachina na wapambe wao! Anyway naamini ushauri wa kufanya biashara ya a milk drinking outlet hapo Mwanza inaweza kukutoa. Unachohitaji ni a good spot. Hii inaweza kuwa supplemented baadaye na kuuza sangara au sato waliokaangwa vizuri, yaani on the spot frying na watu waka-take away au wakala hapo hapo. Biashara hii inalipa, kuna kijana mmoja anaifanya hapa Dar na inalipa kweli kweli. Kwa hapo Mwanza wewe lenga the middle and upper class. Ng'ang'ana na usafi tu, utawapata! Songa mbele usikate tamaa.
 
Back
Top Bottom