Hellena Goodluck
Member
- Sep 10, 2014
- 84
- 26
Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.