kichwakili
Member
- Aug 19, 2017
- 27
- 23
Hapo utapata vitu vichache Sana ukitaka ubalance labda uanze na pc 10, 10 au chini ya hapo kwa items zinazopendwa Ila inatosha kuanza ukihitaji kuanza niambie au lete nambaHabari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk...
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha
Habari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk...
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha
Uko wapi kwanza MkuuHabari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk...
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha
Habari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk...
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha