kichwakili
Member
- Aug 19, 2017
- 27
- 23
Habari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk.
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha.
Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha.