Nina mtazamo tofauti kwenye tukio la kutekwa Kwa Abdul Nondo

Nina mtazamo tofauti kwenye tukio la kutekwa Kwa Abdul Nondo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Me nawaza tofauti na wengi
Nondo ametekwa Kwa sababu Gani?
Nondo sio hatari Kwa watekaji

1 ACT na CCM wana urafiki ambao haulezeki, ni kama CCM alimzaa ACT

Mwanzo wa tukio
Kwa hadhi ya Nondo kusafiri na Saratoga kutoka Kigoma hadi Dar.
Yaani M/kiti wa Vijana ACT amekosea laki 3 ya kupanda ndege hadi Dar kufanya shughuli zake.

2 Ametekwa Stand ya Magufuli eti watekaji wakaacha pingu.
Hivi askari aliyefunzwa aache Pingu stend?
Nondo ana ugumu Gani Kwa watekaji

3 Gari lilimteka kukutwa Gogoni police baada ya dakika chache za Nondo kutekwa.
Yaani police wamteke watu washuhudie gari na hilo gari lipelekwe kituoni kama ushahidi kuthibitisha kuwa waliomteka ni police

4 Kuokotwa coco beach na wasamalia
Yaani watekaji walimchukua Nondo wakampeleka Coco beach 😂 sehemu ina watu wengi wakamtesa hadi saa 5, halafu wasamalia ndo wakamwokota.
Mapori yote haya Tanzania umteke mtu umpelekee CoCo beach

5 Wasamalia kumpeleka Majeruhi Nondo kwenye ofsi za Chama Kwa Bajaj😂
Japo majeruhi aliyopata sijayaona lakini hili linanipa mashaka
Yaani mtu aliyeokotwa akiwa hoi unapeleka ofsini apate huduma Gani?
Kwanini hawakumpeleka hospital?
Mtu wa kawaida atamwokota Nondo atambue kuwa ni wa ACT?
Kwanini hawakwenda police kuchukua pf3? Na hospital watampokeaje majeruhi asiye na pf3

Me nadhani Kuna mawili
1. Kututoa kwenye agenda ya kujadili hujuma za uchaguzi uliosababisha mauaji ya watu kadhaa na wizi wa wazi wa kura

2 kuonyesha kuwa wanaoteka na kuuliwa si Chadema tu na vyama vingine wanatekwa ipo siku tutasikia eti na kiongozi wa CCM nae katekwa katelekwezwa pale kitambaa cheupe😆
Japo tujipe muda mtazamo wangu unaweza kuwa tofauti na uhalisia
 
We una shida sana,kwani Kila mtu anapenda ndege, Mimi mfano sipendi ndege Wala boti ingawa ninapesa ya kupanda hivyo vitu,kingine mkuu kwanini unqsaport haya mambo,labda tu uwe upande wao,hakuna binaadamu anaewapenda mbu,maana Wana wadhuru binaadamu wote,sasa we mwenzetu kulikoni? Tulionee hili taifa letu huruma,watu wanapita ila vipi kuhusu watoto wetu,ukiona Hilo utakalipia Kila jambo,rushwa ,tamaa ya madaraka,,mauji,wizi,uchongqnishi,dhurumq,urafi, vyote hivyo hapo juu ulififisha taifa
 
Me nawaza tofauti na wengi
Nondo ametekwa Kwa sababu Gani?
Nondo sio hatari Kwa watekaji

1 ACT na CCM wana urafiki ambao haulezeki, ni kama CCM alimzaa ACT

Mwanzo wa tukio
Kwa hadhi ya Nondo kusafiri na Saratoga kutoka Kigoma hadi Dar.
Yaani M/kiti wa Vijana ACT amekosea laki 3 ya kupanda ndege hadi Dar kufanya shughuli zake.

2 Ametekwa Stand ya Magufuli eti watekaji wakaacha pingu.
Hivi askari aliyefunzwa aache Pingu stend?
Nondo ana ugumu Gani Kwa watekaji

3 Gari lilimteka kukutwa Gogoni police baada ya dakika chache za Nondo kutekwa.
Yaani police wamteke watu washuhudie gari na hilo gari lipelekwe kituoni kama ushahidi kuthibitisha kuwa waliomteka ni police

4 Kuokotwa coco beach na wasamalia
Yaani watekaji walimchukua Nondo wakampeleka Coco beach 😂 sehemu ina watu wengi wakamtesa hadi saa 5, halafu wasamalia ndo wakamwokota.
Mapori yote haya Tanzania umteke mtu umpelekee CoCo beach

5 Wasamalia kumpeleka Majeruhi Nondo kwenye ofsi za Chama Kwa Bajaj😂
Japo majeruhi aliyopata sijayaona lakini hili linanipa mashaka
Yaani mtu aliyeokotwa akiwa hoi unapeleka ofsini apate huduma Gani?
Kwanini hawakumpeleka hospital?
Mtu wa kawaida atamwokota Nondo atambue kuwa ni wa ACT?
Kwanini hawakwenda police kuchukua pf3? Na hospital watampokeaje majeruhi asiye na pf3

Me nadhani Kuna mawili
1. Kututoa kwenye agenda ya kujadili hujuma za uchaguzi uliosababisha mauaji ya watu kadhaa na wizi wa wazi wa kura

2 kuonyesha kuwa wanaoteka na kuuliwa si Chadema tu na vyama vingine wanatekwa ipo siku tutasikia eti na kiongozi wa CCM nae katekwa katelekwezwa pale kitambaa cheupe😆
Japo tujipe muda mtazamo wangu unaweza kuwa tofauti na uhalisia
You only see what your eyes want to see.
Kwani Ally Kibao alikuwa na tishio gani unalolijua wewe?
 
We una shida sana,kwani Kila mtu anapenda ndege, Mimi mfano sipendi ndege Wala boti ingawa ninapesa ya kupanda hivyo vitu,kingine mkuu kwanini unqsaport haya mambo,labda tu uwe upande wao,hakuna binaadamu anaewapenda mbu,maana Wana wadhuru binaadamu wote,sasa we mwenzetu kulikoni? Tulionee hili taifa letu huruma,watu wanapita ila vipi kuhusu watoto wetu,ukiona Hilo utakalipia Kila jambo,rushwa ,tamaa ya madaraka,,mauji,wizi,uchongqnishi,dhurumq,urafi, vyote hivyo hapo juu ulififisha taifa
Tanzania tuna shida ya ushabiki hata kwa mambo yanayotugusa sote kuyashabikia kisiasa. Hapa wengi kwa sababu hawampendi zitto basi kwao Nondo kajiteka.
 
Naitwa Chiembe, umechanganya majina.

Hivi ngara uchawi mmeacha? Maana huko ni balaa, mpaka Mugoma
Karibu Ngara Kabanga, Murugeanza, Rulenge, Keza, Benako n.k

Kwani wewe ulilogwa na mchawi wa Ngara hadi ukawa Chawa
 
We una shida sana,kwani Kila mtu anapenda ndege, Mimi mfano sipendi ndege Wala boti ingawa ninapesa ya kupanda hivyo vitu,kingine mkuu kwanini unqsaport haya mambo,labda tu uwe upande wao,hakuna binaadamu anaewapenda mbu,maana Wana wadhuru binaadamu wote,sasa we mwenzetu kulikoni? Tulionee hili taifa letu huruma,watu wanapita ila vipi kuhusu watoto wetu,ukiona Hilo utakalipia Kila jambo,rushwa ,tamaa ya madaraka,,mauji,wizi,uchongqnishi,dhurumq,urafi, vyote hivyo hapo juu ulififisha taifa
Una macho lakini huoni yaani na wewe umejaa kwenye huu mtego danganya toto
 
Karibu Ngara Kabanga, Murugeanza, Rulenge, Keza, Benako n.k

Kwani wewe ulilogwa na mchawi wa Ngara hadi ukawa Chawa
Tehetehe, Rulenge kwa Mzee Pius Ngeze, Ngara hawana ubavu wa kuniroga. New Happy kijiwe changu sana, Tuombe (R.I.P) alikuwa anatuletea madude ya Burundi
 
...Kuna mawili
1. Kututoa kwenye agenda ya kujadili hujuma za uchaguzi uliosababisha mauaji ya watu kadhaa na wizi wa wazi wa kura

2 kuonyesha kuwa wanaoteka na kuuliwa si Chadema tu na vyama vingine wanatekwa
Naunga mkono,
Kuna uwezekano mkubwa hayo yote mawili yanahusika
 
Tehetehe, Rulenge kwa Mzee Pius Ngeze, Ngara hawana ubavu wa kuniroga. New Happy kijiwe changu sana, Tuombe (R.I.P) alikuwa anatuletea madude ya Burundi
Karibu sana
Unywe bia aina ya Primus kutoka Burundi
 
Back
Top Bottom